MtanzaniaOG
JF-Expert Member
- Apr 7, 2021
- 432
- 1,028
Nashauri kaa mbali na watoto kwa muda nafikiri ndio wanaokuongezea simanzi. Ila usithubutu kumrudia mke anayezini ukifanya hivyo tu ninakuhakikishia atarudia tena na tena, na itafika mahali ataanza kukuonesha wazi wazi.Sasa haya maumivu nafanyaje?