witnessj
JF-Expert Member
- Mar 22, 2015
- 28,710
- 47,098
Hebu mwambie huyu mwanaumeYaani unamuacha mke kisa tu kachepuka!! Au kuna sababu nyingine? Hebu ukue huko ndoa hazivunjwi kwa sababu za kitoto namna hiyo.
Hebu mwambie huyu mwanaumeYaani unamuacha mke kisa tu kachepuka!! Au kuna sababu nyingine? Hebu ukue huko ndoa hazivunjwi kwa sababu za kitoto namna hiyo.
Kanishanhaza kweli aisee, unawadhulumu watoto haki yao kisa tu mke kachepuka!! Jando lirudishwe tu kwakweli.Hebu mwambie huyu mwanaume
Habari,
Kwa maskitiko makubwa baada ya kugundua mke Wang anamahusiano mengine na kuamua kuondoka baada ya ugomvi mkubwa.
Sasa tukiwa naprocess kumpa talaka na mimi nikiwa nimebaki na watoto (under 7years).
Naanza ku experience mateso makubwa kwakuogopa kukaa Karibia na wanangu kwakuulizwa mama Yuko wapi na kwanini hakai nyumban.... Aisey asikwambie mtu nnawakat mgumu mnoo ukizingatia hatujazoea kudanganya watoto.
Nikiingia chumbani ndo kabisaa upweke nnaopata Hadi nakonda na hamu ya kula inaisha.
Kila nikifikiria kuanzisha mahusiano mapya sioni na Wala sielewi kama ntapata mwanamke niliyemzoea Kama mke Wang.... Si Kama mzuri kuliko wengne ila nifundi kweli kweli. Nahisi
Imekua ngumu kwasababu mimi sio wa michepuko ndio maana na teseka
nafiria kuhama nyumbani kwangu, watoto nipeleke kwa bibi yao mi nitafute chumba niishi Kama bachelor Mana sitokua mazingira ya nyumban kwangu nilipozoea kua na mke wangu na watoto labda itanisaidia .
Kwakweli sikutegemea ndoa inawezakuvunjika kirahisi hivi maana nilidhani Nina ndoa very strong (tulidhani tumewezakuchukuliana vyakutosha)
Separation sijambo rahisi wazee Kama unadhani unaweza kuokoa ndoa yako anyhow jitahidi uokoe before too late.
I missed her but Moyo wangu hauna Imani nae Tena nahisi nnahisi nnaweza fungwa kwa ajili take.
Usiombe
Utasema ni self promo 😟Ha ha ha hapo mwisho mwisho kabisa
Amrudie mkewe walee watoto wao, mambo madogo tu haya kayavalia njuga na kayakuuuuuuza ona sasa anateseka mwenyewe!!Pole mkuu!
Umejaribu njia zote za kurudiana ikashindikana?
Maana hakuna mkamilifu hasa kwenye sex, binafsi labda nikudake unanifanyia shiriki but nikikufuma bed ntakusamehe najua nyege zako tu zimekutuma maana hazina adabuu.....
Msamehe mkuu mlee watoto, divorce anaiweza mwanamke nyie wanaume huwa mnakufa
Mrudie!
Yaani unamuacha mke kisa tu kachepuka!! Au kuna sababu nyingine? Hebu ukue huko ndoa hazivunjwi kwa sababu za kitoto namna hiyo.
Ni mijanaume ya kitanzania ndo ina mentality hiyo...lkn one day wanawake tutaamka na huo ndo utakuwa mwisho wa wanaume wanyanyasaji
best unajistukiaUtasema ni self promo
Tatizo hamkwenda jando nyie babu zenu wakawafunda. Mambo ya kawaida kabisa hayo, msikuze mambo.Men are from Mars and Women are from Venus.
Iwee mukazi obayo?Aaataruudiiih atarudi maamaa aaatarudiii anawapenda sana aatarudi atawaletea zawadi.... (Just singing)
Shukuru na uendelee kukutana na wa aina ya uliyenayeMmh kirahisi rahisi hivo?
Tatizo hamkwenda jando nyie babu zenu wakawafunda. Mambo ya kawaida kabisa hayo, msikuze mambo.
My foot!!Kwanini usijishushe kuomba msamaha mkuu mkaendelea nae tu ..
inaonekana umeingia uwanjani kucheza ligi kuu (ndoa)bila kucheza ndondo cup(kula ujana na kupitapita na wanawake kuwajua)...
I know it isn't.Its not easy to deal with the feeling! Somebody toasted my wifes butts!
Hahaha ndio ni mwanaume ila sio tabia yangu hiyo. Ila ikitokea ni bahati mbaya tu. 😜best unajistukia
Lakini we si mwanaume eti, kama kawaida
sawa mkuuHahaha ndio ni mwanaume ila sio tabia yangu hiyo. Ila ikitokea ni bahati mbaya tu.