I married a Maasai man (Nimeolewa na mwanaume wa Kimasai)

Mwanamayu

JF-Expert Member
May 7, 2010
11,342
6,468
Dada wa kizungu aamua kufunga ndoa na mwanaume wa kimasai na kuishi umasaini. Yeye anasema ni mapenzi baina yao ndio yanapelekea kuwa pamoja kwa muda wa miaka tisa.

Je, yaweza kuwepo sababu zaidi ya kupendana? Je, yaweza kuwa kuna kikolombwezo cha mapenzi yao? Au ule mtindo wa jando?

 
You honor you are right...
Ila hawana Long term survival... huku kwetu kuwa na mwenza kwa miaka 50 au 70 ni kawaida...
Kila ndoa ina changamoto zake.
Ndoa zetu ni za jamii, unaolewa unalea watoto wa wifi, watoto wa shemeji, wakwe. Kwa kifupi unakua sehemu ya familia. Hata ukigombana na mume wako ni kama unagombana na kaka yako. Mnayamaliza na maisha yanaendelea.
 
Watazaaa,mmasai ateanda huko wazinguane aanze maisha mapya au arudi umasaini ,maza anapata custody ya watoto,nyumba ya bure na child support ya mtoto au watoto.
 
Watazaaa,mmasai ateanda huko wazinguane aanze maisha mapya au arudi umasaini ,maza anapata custody ya watoto,nyumba ya bure na child support ya mtoto au watoto.
Huyu dada amepandisha madarasa, anaweza kwenda kwao na kuandika series ya maisha ya Wamasai akawa millionaire kama mtunzi wa Harry Potter.

Beberu kwake kila kitu ni fursa. Nilipomuona alivyotengeneza mataulo ya kina mama, ile kichwa siyo.
 
Back
Top Bottom