Madumbikaya
JF-Expert Member
- Jun 6, 2018
- 637
- 1,901
Maisha yamebadilika sana, Leo Tanzania program ya whatsapp inakuwezesha kutuma na kupokea pesa
I & M Bank(T) , Hii imekuwa Bank ya kwanza kuwawezesha wateja wake Tanzania kutumia WhatsApp kutuma na kupokea pesa, Kulipia bili za maji na umeme
Rais Samia Suluhu Hassan akihubiri kuhusu pesa za mtandaoni kuna watu walishangaa sana lakini teknolojia tusipokuwa makini itatuacha sana
Mitandao yote au wallet za Tigo pesa, Airtel money, M Pesa na Halo pesa zimeungwa na mfumo wa Whatsapp Banking ya I&m Bank Tanzania
Hii ni Bank toka Kenya lakini waliinunua CF Union Bank Tanzania mwaka 2010
Nilisikia Taarifa Katika wasafi Media asubuhi kipindi cha Magazeti, Nikaamua kutembelea Bank husika Posta na kujifunza uhalisia
Mambo yamerahisishwa sana sana, Leo WhatsApp yako ndio Bank yako
I & M Bank(T) , Hii imekuwa Bank ya kwanza kuwawezesha wateja wake Tanzania kutumia WhatsApp kutuma na kupokea pesa, Kulipia bili za maji na umeme
Rais Samia Suluhu Hassan akihubiri kuhusu pesa za mtandaoni kuna watu walishangaa sana lakini teknolojia tusipokuwa makini itatuacha sana
Mitandao yote au wallet za Tigo pesa, Airtel money, M Pesa na Halo pesa zimeungwa na mfumo wa Whatsapp Banking ya I&m Bank Tanzania
Hii ni Bank toka Kenya lakini waliinunua CF Union Bank Tanzania mwaka 2010
Nilisikia Taarifa Katika wasafi Media asubuhi kipindi cha Magazeti, Nikaamua kutembelea Bank husika Posta na kujifunza uhalisia
Mambo yamerahisishwa sana sana, Leo WhatsApp yako ndio Bank yako