I love you, i love you so much baby, but we just cant be lovers

Bramo

JF-Expert Member
Oct 21, 2009
13,160
10,007
Na Tu discuss hiyo Title hapo Juu Jaman,
About three of Rafiki zangu wametokea kuambiwa hiv na Wadada wanaowapigia Misele..
Mmoja wao ndo alienda Mbali kidogo na huyo Mdada,mdada alionesha dhahiri anamzimia Mshikaj wangu,walifikia hatua hadi ya Kufanya "Fore plays", but hiyo kauli hapo Juu ika mfanya mshikaj wangu a Freeze....
Hiyo kauli ina Maanisha nini Ki undani zaidi jaman
 
love is illusion have fun and move on with your life......anamanisha ww mle tu ukichoka muache.:embarassed2:
 
Na Tu discuss hiyo Title hapo Juu Jaman,
About three of Rafiki zangu wametokea kuambiwa hiv na Wadada wanaowapigia Misele..
Mmoja wao ndo alienda Mbali kidogo na huyo Mdada,mdada alionesha dhahiri anamzimia Mshikaj wangu,walifikia hatua hadi ya Kufanya "Fore plays", but hiyo kauli hapo Juu ika mfanya mshikaj wangu a Freeze....
Hiyo kauli ina Maanisha nini Ki undani zaidi jaman


Sijaelewa labda st kayumba zinasumbua kabisa kama ni mpira ni 10 - NIL
 
dena mpenzi wanifurahisha wwe siku zooote wallah una ugomvi na aneleta english,,, hivi kwanini na hiyo kiyumba maana yake ni nini??? hhehehehheheeh,,,, bwana mwenzio ataka kushauriwa huyo apewe maana ya i lov u,, ilov u so much baby but we cant be lovers....hehehe...piganisha kichwa umwambie huyo,,,mi nasubiri wewe ukimwambia tuu na mie ntamwambia hehehe,,,
Sijaelewa labda st kayumba zinasumbua kabisa kama ni mpira ni 10 - NIL
 
dena mpenzi wanifurahisha wwe siku zooote wallah una ugomvi na aneleta english,,, hivi kwanini na hiyo kiyumba maana yake ni nini??? hhehehehheheeh,,,, bwana mwenzio ataka kushauriwa huyo apewe maana ya i lov u,, ilov u so much baby but we cant be lovers....hehehe...piganisha kichwa umwambie huyo,,,mi nasubiri wewe ukimwambia tuu na mie ntamwambia hehehe,,,

St. Kayumba ni shule zeetu zile za enzi za nyerere eng not reachable sio kwamba sijamuelewa hiyo title tatizo humo ndani sijaelewa kabisa hizo red hebu zisome vizuri wewe umeelewa hebu nifahamishe basi dear. Leo nina ombi kwako maana umeamka mapema hiyo rangi unaweza kuibadili inanipaga taabu kweli kusoma dear kama unaweza kuibadili ningefurahi kweli asante in advance.
 
basi sawa rangi ntabadili my dear,,, aahhaa sasa nimekuelewa huyu jamaa kachanganya kwenye mistari lakini alivyomaanisha yeye kiufupi hata mie kanibabaisha sijajuwa ntamjibu nini mpaka sasa,,,
St. Kayumba ni shule zeetu zile za enzi za nyerere eng not reachable sio kwamba sijamuelewa hiyo title tatizo humo ndani sijaelewa kabisa hizo red hebu zisome vizuri wewe umeelewa hebu nifahamishe basi dear. Leo nina ombi kwako maana umeamka mapema hiyo rangi unaweza kuibadili inanipaga taabu kweli kusoma dear kama unaweza kuibadili ningefurahi kweli asante in advance.
 
Maana yake ni
1. Ana kikwazo kinachomfanya asiwe na mahusiano nawe. Yaweza kuwa ameathirika, anaogopa akikuambia utamtangaza.
2. Anataka serious relationship, nawe huelekei!
3. Ana habari zako(kuwa umeathirika), n she want to be polite
4. Hujameet, sifa anazozita!
And many more. The best thing is to respect her wishes.
 
Maana yake ni
1. Ana kikwazo kinachomfanya asiwe na mahusiano nawe. Yaweza kuwa ameathirika, anaogopa akikuambia utamtangaza.
2. Anataka serious relationship, nawe huelekei!
3. Ana habari zako(kuwa umeathirika), n she want to be polite
4. Hujameet, sifa anazozita!
And many more. The best thing is to respect her wishes.

Nita eoward huu ujumbe kwa mshikaj
 
Maana yake ni
1. Ana kikwazo kinachomfanya asiwe na mahusiano nawe. Yaweza kuwa ameathirika, anaogopa akikuambia utamtangaza.
2. Anataka serious relationship, nawe huelekei!
3. Ana habari zako(kuwa umeathirika), n she want to be polite
4. Hujameet, sifa anazozita!
And many more. The best thing is to respect her wishes.

kama vile no 4 nimeipenda zaidi!!
 
basi sawa rangi ntabadili my dear,,, aahhaa sasa nimekuelewa huyu jamaa kachanganya kwenye mistari lakini alivyomaanisha yeye kiufupi hata mie kanibabaisha sijajuwa ntamjibu nini mpaka sasa,,,

Lakin ulisema umeelewa na utanijibu Dada,vp tena Mwana kwetu
 
Maana yake ni
1. Ana kikwazo kinachomfanya asiwe na mahusiano nawe. Yaweza kuwa ameathirika, anaogopa akikuambia utamtangaza.
2. Anataka serious relationship, nawe huelekei!
3. Ana habari zako(kuwa umeathirika), n she want to be polite
4. Hujameet, sifa anazozita!
And many more. The best thing is to respect her wishes.

Uko sahihi mkuu, salute kwako! ongeza hii
5. Wazazi/jamii yake hawakukubali
 
Back
Top Bottom