MSN TZ
Member
- Feb 13, 2019
- 10
- 6
Wapendwa Wana JF,
Kama thread title inavyojieleza, in the coming election 2020, nafikiria kupambana na 'Mzee baba' katika kupeperusha bendera ya Chama chetu ....CCM.
Wengi nadhani watachukulia hili jambo ni 'utani'....hata mzee baba mwenyewe naamini atajua ni utani LAKINI napenda kumfahamisha kuwa kijana wake nataka kumuondoa katika nafasi yake kupitia sanduku la kura ndani ya chama chetu, hivyo atakapoona napata 'mass support' ukumbini wala asichanganyikiwe kabisa.
Kipaumbele changu ni hiki:
1. Katiba mpya.....hiki ni kilio chaa muda mrefu na ndio jambo la kwanza nikiingia mjengoni.
2. Tume huru ya Uchaguzi ..NEC ...hili nitalifanikisha mapema sana kwa kupitia Katiba mpya maana kila kitu kitakuwa kimeainishwa vizuri.
NB: Kwa kuzingatia mawazo yenu na watanzania kwa ujumla, nitaangalia katiba pendekezwa ya Jaji warioba na maboresho mengineyo kabla ya kupigiwa kura na watanzania wote.
TAHADHARI: Najua wapo wana CCM wenzangu wachumia Tumbo....naomba mkae mbali, nikiingia mjengoni basi chama kinakuwa ni cha wananchi, na watanzania wote ni sawa.
Nahitaji kuona kila mtanzania akifaidika na rasimali za nchi hii, na wawe na uhuru kamili wa kuongea watakacho so long as hawavunji sheria....Lazima kuwe na demokrasia ya kweli.
No ukabila wala ukanda wa ziwa.....'all Tanzanians are equal'.
Wale wote wanaomuimbia mapambio 'Mzee baba muda huu' na kumtukuza kama Mungu...tayari dawa yao inachemka and they should not expect to continue to hold all such position after being sworn as 'President'.
Mwisho, nakaribisha maoni na michango huru ya mawazo namna ya kuijenga nchi yetu na vipaumbele ambavyo wewe kama Mtanzania unadhani ingefaa vishughulikiwe after October, 2020 . Naomba usiongelee suala la katiba Mpya wala tume huru ya Uchaguzi hivyo no core kwangu.
Ikimpendeza Mungu, in 2025 nitaachia mtu mwingine na nitahakikisha uchaguzi wa kwanza wa tume huru unafanyika kwa haki kadiri ya katiba mpya itakavyotuongoza.
Naipenda Tanzania, nawapenda watanzania wote.
Karibuni kwa michango ya mawazo.
Moods...naomba uzi wangu usiondolewe.....wala msiogope....after October, 2020 nitawalinda kwa nguvu zote !
Kama thread title inavyojieleza, in the coming election 2020, nafikiria kupambana na 'Mzee baba' katika kupeperusha bendera ya Chama chetu ....CCM.
Wengi nadhani watachukulia hili jambo ni 'utani'....hata mzee baba mwenyewe naamini atajua ni utani LAKINI napenda kumfahamisha kuwa kijana wake nataka kumuondoa katika nafasi yake kupitia sanduku la kura ndani ya chama chetu, hivyo atakapoona napata 'mass support' ukumbini wala asichanganyikiwe kabisa.
Kipaumbele changu ni hiki:
1. Katiba mpya.....hiki ni kilio chaa muda mrefu na ndio jambo la kwanza nikiingia mjengoni.
2. Tume huru ya Uchaguzi ..NEC ...hili nitalifanikisha mapema sana kwa kupitia Katiba mpya maana kila kitu kitakuwa kimeainishwa vizuri.
NB: Kwa kuzingatia mawazo yenu na watanzania kwa ujumla, nitaangalia katiba pendekezwa ya Jaji warioba na maboresho mengineyo kabla ya kupigiwa kura na watanzania wote.
TAHADHARI: Najua wapo wana CCM wenzangu wachumia Tumbo....naomba mkae mbali, nikiingia mjengoni basi chama kinakuwa ni cha wananchi, na watanzania wote ni sawa.
Nahitaji kuona kila mtanzania akifaidika na rasimali za nchi hii, na wawe na uhuru kamili wa kuongea watakacho so long as hawavunji sheria....Lazima kuwe na demokrasia ya kweli.
No ukabila wala ukanda wa ziwa.....'all Tanzanians are equal'.
Wale wote wanaomuimbia mapambio 'Mzee baba muda huu' na kumtukuza kama Mungu...tayari dawa yao inachemka and they should not expect to continue to hold all such position after being sworn as 'President'.
Mwisho, nakaribisha maoni na michango huru ya mawazo namna ya kuijenga nchi yetu na vipaumbele ambavyo wewe kama Mtanzania unadhani ingefaa vishughulikiwe after October, 2020 . Naomba usiongelee suala la katiba Mpya wala tume huru ya Uchaguzi hivyo no core kwangu.
Ikimpendeza Mungu, in 2025 nitaachia mtu mwingine na nitahakikisha uchaguzi wa kwanza wa tume huru unafanyika kwa haki kadiri ya katiba mpya itakavyotuongoza.
Naipenda Tanzania, nawapenda watanzania wote.
Karibuni kwa michango ya mawazo.
Moods...naomba uzi wangu usiondolewe.....wala msiogope....after October, 2020 nitawalinda kwa nguvu zote !