vkeisy2006
JF-Expert Member
- Mar 26, 2010
- 229
- 99
i hope.....1day...... Ntapata mwanaume atakayenithamini na kunijali...atakayesikiliza shida zngu na kujaribu kunipa njia za kuzitatua....huyu bwana hajaniambia anitaki lakini naona kabisa and its killing me inside.... najuiliza kama ntakuja kupenda tena....na je hivi wapo kweli wanaume jamani ....kwamba ukimpigia cm akipokea hasemi 'unasemaje'....hivi wapo wanaume wanaoita mpenz,honey swit...nimekumiss...nakupenda uwiii wako wapi mbo mi siwaoni jamani...huyu sijui ndo nimuite wangu au x sielewi nsipopiga simu hapigi,haniambii ananipenda...ila anasema tu hana mpango wa kuoa...najaribu kumchunia siku2 anakuja kunsalimia2 nguvu zote zinaisha nkimuona...hajui kumbeleza...nzxxxxxxxmmxmxxxxxx.....hasira....hasira hasira....hasira...