Wana jf nawasalim
My boyfriend kasafiri na atakuwa ughaibuni kwa miezi kadhaa.Nampenda sana na niko tayari kuolewa naye hata mkee wa pili in case atarudi na mke
My problem is this:Kaniachia kigari chake (starlet) na hivyo kuniongezea mizunguko isiyokuwa na lazima na tena mpaka usiku, napata mihemko sana na nahisi soon nitateleza na tena naweza jikuta nateleza kwa mkaka wa mtaani kwetu (ofisini haiwezekani 100%)
Naweza hivi: mara mmoja kwa mwezi niwe nakuwa njee ya Arusha with mtu ni mtu provided hanijui na hana hata detail yangu yeyote.Again tatizo ni how i will pick this person note that asiwe mtu wa Arusha ili iwe siri kuu
Note:the banned Marytina yupo Arusha, baba mngoni,mama mchagga nitamfikishia ujumbe wowote incase
My boyfriend kasafiri na atakuwa ughaibuni kwa miezi kadhaa.Nampenda sana na niko tayari kuolewa naye hata mkee wa pili in case atarudi na mke
My problem is this:Kaniachia kigari chake (starlet) na hivyo kuniongezea mizunguko isiyokuwa na lazima na tena mpaka usiku, napata mihemko sana na nahisi soon nitateleza na tena naweza jikuta nateleza kwa mkaka wa mtaani kwetu (ofisini haiwezekani 100%)
Naweza hivi: mara mmoja kwa mwezi niwe nakuwa njee ya Arusha with mtu ni mtu provided hanijui na hana hata detail yangu yeyote.Again tatizo ni how i will pick this person note that asiwe mtu wa Arusha ili iwe siri kuu
Note:the banned Marytina yupo Arusha, baba mngoni,mama mchagga nitamfikishia ujumbe wowote incase