Huyu Kama hana HIV atakuwa ni mmoja Wa wale Wachache ambao hawana CXCR4 na CCR5 ambazo ni chembechembe zinazomwezesha kirusi kujishiliza katika seli za mwili, kama huna hizi vitu hata ufanye mapenzi na watu 100 wenye virusi vya ukimwi huwezi kupata maambukizi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.