cacico
JF-Expert Member
- Mar 27, 2012
- 8,362
- 7,797
umeonaeee elly_black, nna kigugumizi leo, just soooo very happy!Jamani kupendwa raha sababu naisi Cacico aliko ni tabu kweli kweli sababu ya txt aliyopost wa.
umeonaeee elly_black, nna kigugumizi leo, just soooo very happy!Jamani kupendwa raha sababu naisi Cacico aliko ni tabu kweli kweli sababu ya txt aliyopost wa.
hongera cacico, huo upendo uwe endelevu. nategemea kuona uzi mwingine kutoka kwa Young_Master wa mwaliko kula wali mchafu na chereko chereko
tena ukae mbali haswa, lolest!
Hondera sana shemeji ila macho hayo macho shemeji, kila cku huwa nachat via kamchina kangu nakosa uhondo wa avatar duh leo nipo kwenye pc ndo naona macho hayo... shem huna mdogo wako ambaye hajaoa yan me nipo tayari kumtaliki sobhuza!!!!!!! plz...........
nazungushia uzio mapemaaaaaa, tushee kwani siye bongo celebs???teh teh teh! Mbona umeanza kumchimba biti mwenzio mapema hivyo?
Hatuwezi shindwa kuelewana Ndugu, mie nitakusindikiza tena kwao napafahamu shamba langu limepakana na lao, Babake Hana noma kabisa mashangazi tutamalizana nao, gorofa ukijenga ni ya wewe na mkeo usiogope
namzimia dada mmoja humu ndani mpaka naona aibu
duh!!! charminglady leo umepata moja mbili tatu nini?
for sure am so lucky! lakini Remmy kwani ye ndio hayuko lucky tu have me? ebo!How lucky caccico you are.
duh asubuhi na malavidavi safi sana
namzimia dada mmoja humu ndani mpaka naona aibu
6
jamani c nasema ukweli napenda macho... Me ugonjwa wangu ni macho dah