Uwe na heshima kwa imani nyingine.Pascal ni Mgalatia hawezi kumuweka nafasi hiyo. Unajuwa kuna nafasi zile za kusema uongo na kufanya maovu kupindukia basi wanawekwa Waizlamu ili wazaraulike katika jamii. Tizama Jaji mkuu anavotizama sheria na hukumu zinavoendeshwa na yeye anatizama tu huku msemaji mkuu kazi kusema uwongo tu!
You cant stand the truth! Hilo ndilo tatizo ulilonalo. Nimemkosa heshima nani hapo as oppsed to kutetea.Uwe na heshima kwa imani nyingine.
Kiongozi, kweli wanawekwa ili wadharaulike? Seriously?You cant stand the truth! Hilo ndilo tatizo ulilonalo. Nimemkosa heshima nani hapo as oppsed to kutetea.
Kiongozi, kweli wanawekwa ili wadharaulike? Seriously?
Ngoja Pascal Mayalla aje atuambie kama viatu vinamtosha...,Hizo ni ndoto nilizoota usiku wa manane ya tarehe 9/2/2020 ambapo Pascal Mayalla kuwa msemaji nilipoamuka sikushangaa maana mtu ninayemuongelea ana uwezo mkubwa sana na anastahili