i have a confession wana JF,nimemmiss sana uyu na niko mbali nae

Money Stunna

JF-Expert Member
Aug 9, 2011
13,054
6,281
elizabeth_michael.jpg


sijui nifanye nini?
 
Money stunna hebu fanya uhalifu mmoja tuu wakupeleke kule ndani aliko halafu utakuwa unamuona tuu akiwa anaenda kufuata msosi wewe ukiwa kwenye nondo
 
Last edited by a moderator:
Ha ha ha.. Endelea kum-miss Mkuu.. Maana so far hilo ndilo pekee uwezalo kulifanya kwa muda huu.. Ha ha ha.. Kitu cha kufa mtu hicho..

sijui nifanya nini,na sijui atatoka lini,sijui nifanye nini nimtoe uko alipo,nimemmis sana na niko mbali nae
 
Money stunna hebu fanya uhalifu mmoja tuu wakupeleke kule ndani aliko halafu utakuwa unamuona tuu akiwa anaenda kufuata msosi wewe ukiwa kwenye nondo

ningekuwa ni msichana sawa,si nasikia magereza ya jinsia ya kike na kiume ni tofauti,naitaj kama kias gani nimtoe uko alipo sababu nimemmis ata kumuona imekuwa shida,kwanza hakuna mdada yeyote anayemfikia uyo kiusanii ameanza longtime sana toka akiwa mtoto na amemudu sana hii tasnia ya filamu na amechanga ukuaji wa tasnia hii toka maigizo yani tamthilia adi movie
 
sijui nifanya nini,na sijui atatoka lini,sijui nifanye nini nimtoe uko alipo,nimemmis sana na niko mbali nae

Jitangaze kuwa wewe ndo uliyesababisha kwa makusudi ajali iliyomuua Sharo milionea pia useme wewe ndo uliyeiba vitu vyake, wallah tena utajikuta uko jirani nae kasoro vyumba,anzia hapo kwanza
 
Jitangaze kuwa wewe ndo uliyesababisha kwa makusudi ajali iliyomuua Sharo milionea pia useme wewe ndo uliyeiba vitu vyake, wallah tena utajikuta uko jirani nae kasoro vyumba,anzia hapo kwanza

tatizo la magereza wanatenganisha kati ya jinsia ya kike na kiume,wangekuwa wanatumix,ningejilipua tu uko segerea nia ni kumuona angalau nimshike mkono,kila siku namuombea kwa mungu amuepushe na maswahiba ya uko jela na aweze kurudi uraiani salama
 
.., kafanye kazi kwanza, baadaye kuna muda wa kwenda kutembelea wafungwa...
 
Back
Top Bottom