I Hate Swahili Because It Is Purely Arabic

Status
Not open for further replies.

Ng'wanangwa

JF-Expert Member
Aug 28, 2010
10,827
4,172
And Arabic is the language of Islamic doctrines.

And am not a muslim, neither i will be.

i will chose death between death, living and being islamised.

what do you think ma pipo?
 
To me it sounds like you hate yourself. Je hiyo lugha unayotumia kujieleza ni lugha yako au...?
 
Jerusalem,
Kuna ka-jukwaa kanaitwa D I N I embu isogeze kule tuichangie vizuri..
 
And Arabic is the language of Islamic doctrines.

And am not a muslim, neither i will be.

i will chose death between death, living and being islamised.

what do you think ma pipo?
Sioni sababu ya kuki-hate kiswahili. Kama ni uislamu ni wao na kiarabu ni chao...............
 
And Arabic is the language of Islamic doctrines.

And am not a muslim, neither i will be.

i will chose death between death, living and being islamised.

what do you think ma pipo?

Jerusalem, Umeumwa na mbu sugu na sasa una malaria sugu. Hii ilikutokea wakati mnasoma chuo kikuu cha Anopheles pamoja na Malaria sugu. soma mlilofauli vizuri lilihusu namna ya kufarakanisha ukristo na Uislamu. Hili somo wanasoma watu wenye akili ndogo zaidi duniani kwa sababu ni jepesi kueleweka hata kwa wale walio na mtindio wa ubungo. Ni somo la kukata tawi la mti huko umelikalia linahitaji wajinga ili kulielewa. werevu wengi hawajapata kufaulu somo hili.
 
Jerusalem, Umeumwa na mbu sugu na sasa una malaria sugu. Hii ilikutokea wakati mnasoma chuo kikuu cha Anopheles pamoja na Malaria sugu. soma mlilofauli vizuri lilihusu namna ya kufarakanisha ukristo na Uislamu. Hili somo wanasoma watu wenye akili ndogo zaidi duniani kwa sababu ni jepesi kueleweka hata kwa wale walio na mtindio wa ubungo. Ni somo la kukata tawi la mti huko umelikalia linahitaji wajinga ili kulielewa. werevu wengi hawajapata kufaulu somo hili.


thank you.

i talk openly.

you talk openly.

so, we are even.
 
Jerusalem kuna msemo wa "kiswahili" usemao MKATAA KWAO NI MTUMWA ni wazi wewe ni mtumwa na bado unaishi kwa fikra za kikoloni. Kiswahili hakika uhusianio wowote wa moja kwa moja na uislam, kumbuka hata Uingereza ambako hutumia lugha uliyotumia kujieleza ambayo wewe unafikiri ndio lugha bora, pia waislam wako. Na pia nikueleze ukristo ambao unajaribu kuupa uhusiano wa moja kwa moja na kiingereza unawasilishwa kwa lugha mbalimbali kutokana na eneo husika. Ningekuelewa kama ungesema tu kwa sababu zako na kwa imani yako unachukia UISLAM, na hata kama hivyo ndiyo si kuna JUKWAA lake!
 
Kiswahili is a lingua franca, and it is made in Tanzania! It has arabic words, kireno, kijerumani but largely it's bantu words! I am not originally a bantu person, i am a hamite..but so what..tunakwenda na wakati na mazingira and i don't regret...maisha yanaendelea! Kiswahil kisihusishwe na dini yoyote wala waraabu, hata wao hawakijui! Hata waislamu siyo waarabu peke yao! sipendi uislamu, ila singilii dini zwatu kama nisivyotaka ya kwangu kuingiliwa! But that's has nothing to do with the Kiswahili! It's melodic jo!
 
Kiswahili ni kiislamu. Ukienda nchi kama Rwanda, Burundi, Uganda, Sudan ya kusini, Malawi ya kaskazini; kiswahili ni lugha inayozungumzwa na waislamu. Na hata hapa nyumbani kilipozaliwa kiswahili, waislamu ndiyo watu wa kwanza kuzungumza kiswahili. Mombasa, Tanga, Unguja na Pemba, Dar-es-salaam, Kilwa, Lindi mpaka Mtwara.; Kigoma na kuvuka mipaka kuingia nchi jirani. Kikaendelea kukomaa na kuusambaza Uislamu na na mpaka leo hii kinazungumzwa na watu wasiojua kilipotokea.
Na hiyo ndiyo historia yetu.
 
And Arabic is the language of Islamic doctrines.

And am not a muslim, neither i will be.

i will chose death between death, living and being islamised.

what do you think ma pipo?



Jerusalem,

Shalom,

Ninaposoma michango yako, hunifanya nitabasamu.
Fofofo inaonekana anakufahamu vyema. Umekuwa ni mtu wa misimamo mikali.
Why don’t you arrange a match with MS ?

Inaonekana unapata tabu sana, una msongo wa mawazo, nimeona katika threads nyengine unatumia Kiswahili, tena Kiswahili sanifu, fasaha. Sasa kwa nini ulijifunza lugha hii?
Unapendelea hapa Tanzania tutumie lugha gani?

Kiswahili ni kibantu, si kiarabu wala si kiislamu. Waulize wataalamu wa lugha kama itakusaidia kupunguza au kuondoa chuki yako dhidi ya Kiswahili.

Kiswahili kina maneno yenye asili ya kiarabu, (sio kiislamu) kwa 44% tu. Na lugha zote duniani huazima, hukopa maneno kutoka katika lugha nyengine na kuyatohowa. Yakishapita hatua hiyo huwa ni maneno ya lugha husika siyo tena ya kule yalikoopolewa.

Ukubwa wa Tanzania ulivyo, na lugha zaidi ya 120, tumshukuru Nyerere aliyefanya juhudi kuieneza lugha hii ili kutuunganisha kama taifa.

Kama tatizo lako ni uislamu, hilo ni jambo jengine na ni vyema uwaachie wenyewe uislamu wao ,wewe shughulika na imani uliyonayo. Waswahili husema,”pili pili usiyoila yakuwashiani?”
Pia kama hujuwi au ndiyo misimamo mikali imekuzidi kimo, siyo waarabu wote kuwa ni waislamu.

Katafute ushauri nasaha mapema, ndugu.

Shalom,
 
AWAU'ZA WASWAHILI

1

Risala enuka hima, sikae 'kataghafali
N'na jambo 'takutuma, ubalegheshe suali
Nipate jawabu njema, yenye amani na kweli
Nauliza Kiswahili, ni lugha ya watu gani?


2
Lugha nyingi duniyani, zatamkwa mbalimbali
Na zote ulimwenguni, zina wenyewe mahali
Si Hindi Si Uzunguni, mewaumbia Jalali
Jee hichi Kiswahili, ni lugha ya watu gani ?


3
Wakamba wana kikwao, lugha yao ya asili
Na Wazungu piya nao, wana zao mbalimbali
Na Wameru wana yao, wengine ni Wasomali
Jee hichi Kiswahili, ni lugha ya watu gani ?


4
Wahindi wana Kihindi, kwa kabila mbalimbali
Na Wanandi ni Kinandi, ndizo zao akuwali
Wengine ni Wakilindi, wana yao ya asili
Jee hichi Kiswahili, ni lugha ya watu gani?


5
Kuuliza Si ujinga, musinifanye jahili
Nautafuta niuwanga, tuzinduwane akili
Ndipo shairi hatunga, kubaleghesha suali
Nielezwe Kiswahili, ni lugha ya watu gani?


6
Mara nyingi husikiya, kuwa hichi Kiswahili
Hakina mtu mmoya, ambaye ni chake kweli
Na wengine huteteya, kina wenyewe asili
Ndipo ha'mba Kiswahili, ni lugha ya watu gani?



7
Masai ana kikwao, lugha ya tangu azali
Na Mahara wana yao, wengine Mashelisheli
Na Waluo lugha zao, Si sawa na Maragoli
Jee hichi Kiswahili, ni lugha ya watu gani?

8
Na jamii wengineo, wana lugha mbalimbali
Na kujuwa ya wenzao, ni kujifunza ya pili
Lakini wana na zao, lugha za tangu asili
Jee hichi Kiswahili, ni lugha ya watu gani?

9
Sasa ambalo nataka, kwa wenye kujuwa hili
Wa Kenya na Tanganyika, na walo kulla mahali
Nipani ilo hakika, tubalegheshe ukweli
Nambiyani Kiswahili, ni lugha ya watu gani?

10
Miye mefikiri mno, kuamuwa jambo hili
Na huona lugha hino, lazima ina asili
Kwa sababu kulla neno, lina mwanzo wa usuli
Ndipo ha'mba Kiswahili, hi lugha ya watu gani?

11
Na iwapo hivi sivyo, niliyyoamuwa hili
Nionyeshani viliyyo, mubainishe ukweli
Nijuwe ambavyo ndivyo, tutowane mushkili
Kifunuke Kiswahili, ni lugha ya watu gani?

12
Na iwapo atakuja, wa kunijibu suali
Namuomba jambo moja, twambiyane kiakili
Tusionyane miuja, jambo nisilo kubali
N'anambiye Kiswahili, ni lugha ya watu gani?

13
Tamati ndio akhiri, na jina langu ni hili
Ahmadi wa Nasiri, na Bhalo ndilo Ia pili
Mtungaji mashuhuri, mpenda penye ukweli
Nambiyani Kiswahili, ni lugha ya watu gani?

By Ahmad Nassir from Malenga wa Mvita
 
Jerusalem, I strongly differ with you; I know you did not choose to be born in a christian family and a muslim child did not choose to be born in that family. In view of this reality once you get to know the truth about your faith, you need also to know about the other faith so that you can be able to differentiate and be able to help the other side. To me is not the issue of swahili, as christians we need to go beyond learn and get to know arabic language so that we can read their books and be able to help each other. It is only the truth/facts that can set someone free; so by knowing your faith as christian and knowing what others believe through their books it will help you to help them.
 
And Arabic is the language of Islamic doctrines.

And am not a muslim, neither i will be.

i will chose death between death, living and being islamised.

what do you think ma pipo?
I do not subscribe to your view. Kiswahili has many roots and not purely Arabic see for example Schule for Shule -German
picha for picture is English, Mesa for meza is portuguese and see for example Kitivo for chemichemi from Kipare and many more. So it has been enriched from so many sources and not only Arabic au siyo?
 
AWAU'ZA WASWAHILI

1

Risala enuka hima, sikae 'kataghafali
N'na jambo 'takutuma, ubalegheshe suali
Nipate jawabu njema, yenye amani na kweli
Nauliza Kiswahili, ni lugha ya watu gani?


2
Lugha nyingi duniyani, zatamkwa mbalimbali
Na zote ulimwenguni, zina wenyewe mahali
Si Hindi Si Uzunguni, mewaumbia Jalali
Jee hichi Kiswahili, ni lugha ya watu gani ?


3
Wakamba wana kikwao, lugha yao ya asili
Na Wazungu piya nao, wana zao mbalimbali
Na Wameru wana yao, wengine ni Wasomali
Jee hichi Kiswahili, ni lugha ya watu gani ?


4
Wahindi wana Kihindi, kwa kabila mbalimbali
Na Wanandi ni Kinandi, ndizo zao akuwali
Wengine ni Wakilindi, wana yao ya asili
Jee hichi Kiswahili, ni lugha ya watu gani?


5
Kuuliza Si ujinga, musinifanye jahili
Nautafuta niuwanga, tuzinduwane akili
Ndipo shairi hatunga, kubaleghesha suali
Nielezwe Kiswahili, ni lugha ya watu gani?


6
Mara nyingi husikiya, kuwa hichi Kiswahili
Hakina mtu mmoya, ambaye ni chake kweli
Na wengine huteteya, kina wenyewe asili
Ndipo ha'mba Kiswahili, ni lugha ya watu gani?



7
Masai ana kikwao, lugha ya tangu azali
Na Mahara wana yao, wengine Mashelisheli
Na Waluo lugha zao, Si sawa na Maragoli
Jee hichi Kiswahili, ni lugha ya watu gani?

8
Na jamii wengineo, wana lugha mbalimbali
Na kujuwa ya wenzao, ni kujifunza ya pili
Lakini wana na zao, lugha za tangu asili
Jee hichi Kiswahili, ni lugha ya watu gani?

9
Sasa ambalo nataka, kwa wenye kujuwa hili
Wa Kenya na Tanganyika, na walo kulla mahali
Nipani ilo hakika, tubalegheshe ukweli
Nambiyani Kiswahili, ni lugha ya watu gani?

10
Miye mefikiri mno, kuamuwa jambo hili
Na huona lugha hino, lazima ina asili
Kwa sababu kulla neno, lina mwanzo wa usuli
Ndipo ha'mba Kiswahili, hi lugha ya watu gani?

11
Na iwapo hivi sivyo, niliyyoamuwa hili
Nionyeshani viliyyo, mubainishe ukweli
Nijuwe ambavyo ndivyo, tutowane mushkili
Kifunuke Kiswahili, ni lugha ya watu gani?

12
Na iwapo atakuja, wa kunijibu suali
Namuomba jambo moja, twambiyane kiakili
Tusionyane miuja, jambo nisilo kubali
N'anambiye Kiswahili, ni lugha ya watu gani?

13
Tamati ndio akhiri, na jina langu ni hili
Ahmadi wa Nasiri, na Bhalo ndilo Ia pili
Mtungaji mashuhuri, mpenda penye ukweli
Nambiyani Kiswahili, ni lugha ya watu gani?

By Ahmad Nassir from Malenga wa Mvita

Asante kaka nimeipenda hii
 
And Arabic is the language of Islamic doctrines.

And am not a muslim, neither i will be.

i will chose death between death, living and being islamised.

what do you think ma pipo?



Punguza hasira ndg yangu Jerusalem.
 
AWAU'ZA WASWAHILI

1

Risala enuka hima, sikae 'kataghafali
N'na jambo 'takutuma, ubalegheshe suali
Nipate jawabu njema, yenye amani na kweli
Nauliza Kiswahili, ni lugha ya watu gani?


By Ahmad Nassir from Malenga wa Mvita


Mkuu,

asante, ahsante kwa beti hizi.

Mtu wa Pwani, "Nambiyani Kiswahili, ni lugha ya watu gani?"

Ni lugha ya mtu kama wewe........watu wa pwani, mwambao.
Kiswahili ni cha waswahili. Kila lugha ina wenyewe!
 
And Arabic is the language of Islamic doctrines.
And am not a muslim, neither i will be.
i will chose death between death, living and being islamised.
what do you think ma pipo?

Hiyo ni ishara ya kuchanganyikiwa.

Basi shauri taifa lizungumze kiyahudi kama lugha ya taifa. Tutajifunza na yale maandishi yao
 
Status
Not open for further replies.

Similar Discussions

0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom