I got to say it..."Tumeuziwa Mbuzi kwenye gunia"

Mwanakijiji kwa hii umechemsha, tena sana, for the first Summit this is a milestone, usiwalaumu waandaaji au wageni waliofika, bali pia watu kama wewe ambao hamna knowledge summit kama hizi huwa sinakuwaje.

Mzee.. naijua hiyo Sullivan kuliko unavyodhania... I know about Andrew Young na madili yake na jinsi gani amekuwa kuwadi wa Ubepari na kunufaisha makampuni yake ambayo yeye ni memba mojawapo ni Barrick Gold..! So no sir, siumi maneno...mark my words.


Kwanza kabisa kwa hii summit I may suggest kuwa media coverage imekuwa ndogo kidogo.

What do you mean ndogo kidogo? Ni shirika gani la Marekani la habari lililotuma coverage ya mkutano huu (BET?) NI tovuti gani ya mashirika makubwa duniani ili cover Reuters? AFP? AP? Matangazo kurushwa na TBC basi ndio imekuwa coverage kubwa? No sir, there was no noticeable media coverage nje ya Tanzania! Hata Kenya, Uganda, Rwanda, and Burundi the coverage was minimal!


Pili usilaumu serikali kuwa watanzania hawakufaidi, ila ulaumu kuwa waTanzania ni ma-mbumbu;

Sasa kuwaandalia mkutano ma "mbumbumbu" bado unataka niwalaumu mbumbumbu badala ya walioandaa!?
ndivyo tulivyo! Hakuna summit, symposium au conference kama hizi wenye hela wanakwenda, only brokers, agents, financial instutions na makampuni yanayowakilisha wenye pesa. Hawa wakirudi kwao waTawaambia wenye pesa nao wata-assess situation na in a next summit or an event wanaweza wakaja.

IO.. you are not talking about people who came there from US.. Kama unafikiri kwamba wakirudi ndio wataipigia debe Tanzania zaidi n.k you wrong. Mtu pekee ambaye ataiuza Tanzania ni Young mwenyewe na washirika wake na yeye atakuwa wa kwanza kunufaika...

Watanzania wenzangu we expect too much from putting nothing, it is impossible; we must put our efforts to realise the best output!

that is exactly my point too.. why bother with these conferences wakati mambo yetu ya msingi yametushinda au hatukuyavalia njuga. Huu mtindo wa semina na warsha haujakoma basi.. maana kuna warsha za kila aina na vibeji, na photo ops kibao! Tunapenda images zaidi kuliko kitu halisi!
 
I personal believe the summit was succession for tourism sector in Tanzania, i also believe the ground economy received stimulus. I believe the hospitality industry receive a huge boost. I don't believe the government received anything, lather than spending TVT airtime. .

sasa wewe facts zako hapo ni zipi zaidi ya kuelezea "imani yako".. you believe this and you believe that? mwaga data zako absi tuone ni jinsi gani utalii umenufaika...
 
"World-renowned human rights activist Jesse Jackson used the few minutes he was given by President Kikwete to say a few words on his trip to tourist attractions earlier on the day to lead the African-Americans around into an impromptu fundraiser at which over $50,000 (about 70m/-) was contributed.

The contribution aside, Carlton Masters said funds would be made available to make the road section leading to Manyata village in Arumeru District passable throughout the year.

He and Summit Convener Hope Masters visited a school at the village on Tuesday and concurred that it would benefit from the emergency assistance.

The African-Americans at the Arusha summit donated $105,000 towards the purchase of books and computers for use in Tanzanian schools.

Meanwhile, President Kikwete announced that Leon H. Sullivan Foundation Co-Chairperson Andrew Young had been installed as a Maasai elder and assumed the name of Laigwena Andrew ole (son of) Young.

The five-day summit, which ends today, brought together over 3,000 participants from Africa and African renaissance activists in the Diaspora.

The Leon H. Sullivan Summit is held every other year in an African country, principally to nurture the African renaissance philosophy and initiatives seeking to build bridges through partnerships in trade and investments." - IPPMEDIA


How nice...spend 30 million on a summit and at an impromptu fundraiser wamechangisha dollar laki moja tu. kweli ndivyo tulivyo...and some of these people are multi millionaires...
 
All said; lakini I'm imagining and not hopping getting somebody ambaye anaweza ku-quantify mafanikio au mapungufu ya Mkutano huo!

I bet it is not that simple as MMKJJ put it!!! You really have to have a serious and detailed research about it.

it is not about aljebra a+b=c!!! No thanks wandugu!!!

Ahsante
Kasheshe
 
"World-renowned human rights activist Jesse Jackson used the few minutes he was given by President Kikwete to say a few words on his trip to tourist attractions earlier on the day to lead the African-Americans around into an impromptu fundraiser at which over $50,000 (about 70m/-) was contributed.

The contribution aside, Carlton Masters said funds would be made available to make the road section leading to Manyata village in Arumeru District passable throughout the year.

He and Summit Convener Hope Masters visited a school at the village on Tuesday and concurred that it would benefit from the emergency assistance.

The African-Americans at the Arusha summit donated $105,000 towards the purchase of books and computers for use in Tanzanian schools.

Meanwhile, President Kikwete announced that Leon H. Sullivan Foundation Co-Chairperson Andrew Young had been installed as a Maasai elder and assumed the name of Laigwena Andrew ole (son of) Young.

The five-day summit, which ends today, brought together over 3,000 participants from Africa and African renaissance activists in the Diaspora.

The Leon H. Sullivan Summit is held every other year in an African country, principally to nurture the African renaissance philosophy and initiatives seeking to build bridges through partnerships in trade and investments." - IPPMEDIA


How nice...spend 30 million on a summit and at an impromptu fundraiser wamechangisha dollar laki moja tu. kweli ndivyo tulivyo...and some of these people are multi millionaires...


Yaani hawa katika kuchangia kwao ndio wamepata hiyo dola hamsini elfu? si wangeomba CCM wawasaidie kuchangisha... hivi wanajua kule Butiama wafanyabiashara walichangia CCM kiasi gani... ?

Kasheshe... lengo ni kuchokoza na kuchokoza nimechokoza.. lakini katika kuchokoza kwangu nimejenga hoja na data zitakapokuja zitanithibitisha au kuniumbua...
 
unaambiwa mkutano wenyewe nasikia wabongo ndio walikuwa na hela zaidi ya some of these delegates...wako disappointed kweli.
 
unaambiwa mkutano wenyewe nasikia wabongo ndio walikuwa na hela zaidi ya some of these delegates...wako disappointed kweli.

Sasa kama mlioko huko USA hamleti hizo hela la mabox unategemea nini?

Nasikiliza BBC nimesikia mama mmoja analalamika kupita Kiasi... lakini simshangai kwani sisi Watanzania hatuwezi kutofautisha kati ya Maonyesho na Kufanya biashara.
 
Mwanakijiji;
You may be right in one issue; media coverage kweli ilikuwa hakuna, huku niliko mie nategemea such news kutoka upstream media kama CNN, BBC, NBC, ABC; kote huko sijaona hizo news za Sullivan, hata media ya South Africa hakuna coverage kabisa; mie singejua hii Sullivan ipo Tanzania kama singekuwa na IPPMEDIA.COM; and ask yourself who reads this besides us Tanzanians?

Inawezekana ukweli mtupu promotion before summit and lobbying kwenye newsgroups; especially well known news media ilikuwa hakuna. A summit like this cud have brough CNN or BBC live starting two weeks before inauguration!
 
Mzee Mwnkjj, bora wewe umesema maana kumbuka thread yetu ya miezi sita iliyopita. Naomba upost hapa link yake alafu wacha hawa wanaotetea summit waseme sasa. Because they have no data whatsoever.

Kwa wale mnaotetea Sullivan summi: Who is GOodWorks International? Who are the directors? How are they related to Nigeria Obasanjo and one of the largest corruption cases in Africa? How is Sullivan summit and Goodworks INternational related?
Mkileta majibu yenu hapa na mtaendelea kutetea Sullivan Summit nitashangaa sana.
Msitete na kuwabeza wafanyabiashara wadogo wa Tanzania when they were deliberately misled by ego maniac leaders wanaotaka sifa na kuimbiwa na BOyz to Men and to rub shoulders with Chris Tucker! Kumbe wanauza nchi to one of the most ruthless economic hitmen mafia! Marais waliokuja ni wa aina gani? Ulimwona hata Gaddhafi au Thabo Mbeki akijisumbua. Eti Western Sahara! Vituko!!!! Hii Summit haina hadhi and this is a fact. Now watetezi niambieni apart from its own website where did you see any mention of this summit?
 
apart from its own website where did you see any mention of this summit?

Sus,

A virus infected one at that, perhaps a fitting symbolism of the nature of the summit, nothing but a plague of economic hitmen disguised as businessmen
 
Sus,

A virus infected one at that, perhaps a fitting symbolism of the nature of the summit, nothing but a plague of economic hitmen disguised as businessmen
Kwikwikwi!!!! Hii ni laana ya wanyonge katika bara la Afrika in Nigeria, tanzania and Western Sahara and God knows what other country waliyotapeli!
Poetic justice!!!
 
Sasa kama mlioko huko USA hamleti hizo hela la mabox unategemea nini?

Unajua kwamba hela za maboxi za mwaka mmoja tu wa 2007 kutoka Marekani ziliingizia Taifa faida mara sita zaidi ya mapato yote kutoka sekta ya Madini katika miaka kumi iliyopita?

Hela za Madini kwa TZ, miaka 10 iliyopita - dola Millioni 73

Hela za Maboxi mwaka mmoja, toka US tu - dola Millioni 450

(West Union Money transfers statistics, 2007)

Bado utasema hatuleti hela za Maboxi?

Umedhihaki bila kuwa na facts. Hapa JF utapeteshwa, lakini kuna forum nimeziona zina ma serious debates na zina hold members responsible on whatever they put out for the record. Mtu kama wewe ungeombwa urekebishe hiyo kejeli, au usingesikilizwa tena huko, ungeonekana hujui unachokisema, ni mdaku mdaku!
 
Unajua kwamba hela za maboxi za mmoja tu wa 2007 kutoka Marekani ziliingizia Taifa faidi mara sita zaidi ya mapato yote kutoka sekta ya Madini katika miaka kumi iliyopita?

Hela za Madini kwa TZ, miaka 10 iliyopita - dola Millioni 73

Hela za Maboxi mwaka mmoja, toka US tu - dola Millioni 450

(West Union Money transfers statistics, 2007)

Bado utasema hatuleti hela za Maboxi?

Umedhihaki bila kuwa na facts. Hapa JF utapeteshwa, lakini kuna forum nimeziona zina ma serious debates na zina hold members responsible on whatever they put out for the record. Mtu kama wewe ungeombwa urekebishe hiyo kejeli, au usingesikilizwa tena huko, ungeonekana hujui unachokisema, ni mdaku mdaku!


Kuhani, hela yetu wanaipenda kweli... lakini tukitoa mawazo tunaambiwa "kwanini hamrudi?".. tukirudi wote hizo hela zitatoka wapi kwa mjomba etu?
 
kama ulihudhuria ile dinner ya hawa wanugu wa sullivan pale washington dc basi unajua utapeli wao. kwa kusema ukweli raisi wetu amekuwa pimped na yule mtoto wa marehemu sullivan- Hope Masters manake hiki kitu kimetoka fresh sana na kama tunavyoelewa udhaifu wa vasco na nina uhakika they got everything ($3 million hosting fee paid to sullivan foundation, free accomodation and transportation) by jus smiling at our esteemed president. watu wanasema ohh hii event imetutangazia tourism industry yetu!..... well since when have yu heard afrikan amerikan travelling as tourists? wanugu hawasafiri hata siku moja. yu wouldn't be suprised to see a black american who hasn't even travelled outside the state lines let alone crossing the sea. we jus gotta admit that we got pimped by hope masters!
 
kama ulihudhuria ile dinner ya hawa wanugu wa sullivan pale washington dc basi unajua utapeli wao. kwa kusema ukweli raisi wetu amekuwa pimped na yule mtoto wa marehemu sullivan- Hope Masters manake hiki kitu kimetoka fresh sana na kama tunavyoelewa udhaifu wa vasco na nina uhakika they got everything ($3 million hosting fee paid to sullivan foundation, free accomodation and transportation) by jus smiling at our esteemed president. watu wanasema ohh hii event imetutangazia tourism industry yetu!..... well since when have yu heard afrikan amerikan travelling as tourists? wanugu hawasafiri hata siku moja. yu wouldn't be suprised to see a black american who hasn't even travelled outside the state lines let alone crossing the sea. we jus gotta admit that we got pimped by hope masters!

Ether.. hiyo hosting fee ndio nadhani source zangu zimeungumzia.... je yawezekana kuwa serikali imepata faida ya kodi n.k ya kiasi cha milioni tatu dola?
 
Eh Mwanakijiji, ina maana mkutano uligharimiwa kwa kodi zetu???
naona hii nchi sasa imekuwa kama kampuni fulani ya kijasiriamali... je fungu la sulivan lipo ktk bajet iliyopitishwa na bunge????
 
Eh Mwanakijiji, ina maana mkutano uligharimiwa kwa kodi zetu???
naona hii nchi sasa imekuwa kama kampuni fulani ya kijasiriamali... je fungu la sulivan lipo ktk bajet iliyopitishwa na bunge????

Matumizi maalum
 
Ether.. hiyo hosting fee ndio nadhani source zangu zimeungumzia.... je yawezekana kuwa serikali imepata faida ya kodi n.k ya kiasi cha milioni tatu dola?


Jamani eee faida sio lazima ipatikane siku ya mkutano, tufanye tathmini ya kisomi ya mkutano huu iwapo kweli lengo ni kujua manufaa au athari zake.
 
hivi hasara/disadvatage tuliyopata watanzania kutokana na huu mkutano ni ipi/zipi ?? au ndo tunapiga domo tu ?
 
Mkutano wa Sullivan ulikuwa na wadhamini wengi tu wa ndani na nje ya nchi, mbona hapa inaongelewa as if mkutano huo wote uligharimiwa na serikali?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom