Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,392
- 39,493
yes the whole hype about "Sullivan Summit"; whatever crap "A summit of a lifetime" that was.. and whatever the picture and photo ops.. the bottom line ni kuwa mkutano huu umechemsha na kwa upande wa mafanikio.. I bet you Wakenya ndio watakuwa wamenufaika sana..
Next time.. leteni wawekezaji wa kweli, watu wenye hela za kuwekeza!!! And I won't mind some Wajerumani, Waingereza.. Wajapani.. n.k.. hawa waswahili wenzetu hata Kilimanjaro hawaendi kupanda..
Halafu kuna tetesi kuwa kuna watu wamelipa dola milioni 3... (stay tuned).. And then read my signature... It'll do u good.
Next time.. leteni wawekezaji wa kweli, watu wenye hela za kuwekeza!!! And I won't mind some Wajerumani, Waingereza.. Wajapani.. n.k.. hawa waswahili wenzetu hata Kilimanjaro hawaendi kupanda..
Halafu kuna tetesi kuwa kuna watu wamelipa dola milioni 3... (stay tuned).. And then read my signature... It'll do u good.