Mahesabu
JF-Expert Member
- Jan 27, 2008
- 5,972
- 3,830
Tanesco nao waonyeshwe live wakati wanasambazia wateja wao umeme.
BUNGE, MAHAKAMA & SERIKALI mihimili yote hii ionyeshwe live tena na TBC
Madaktari wakati WA upasuaji nao iwe live
Madiwani wawakilishi WA wananchi wakiwa Vinson nao live
JWTZ, kamati za bunge, mabwana shamba, walimu, Bandari, VETA, Wenyeviti WA mitaa, RAIS, Wenyeviti WA Vyama vya siasa, Madison seremala, ujenzi, mafundi barabara, n.k
Kila sekta ikitaka kuonyeshwa live itakuwaje??
HAHA YA KUPATA HABARI IPO PALEPALE,
BUNGE, MAHAKAMA & SERIKALI mihimili yote hii ionyeshwe live tena na TBC
Madaktari wakati WA upasuaji nao iwe live
Madiwani wawakilishi WA wananchi wakiwa Vinson nao live
JWTZ, kamati za bunge, mabwana shamba, walimu, Bandari, VETA, Wenyeviti WA mitaa, RAIS, Wenyeviti WA Vyama vya siasa, Madison seremala, ujenzi, mafundi barabara, n.k
Kila sekta ikitaka kuonyeshwa live itakuwaje??
HAHA YA KUPATA HABARI IPO PALEPALE,