BLUE BALAA
JF-Expert Member
- Nov 30, 2010
- 1,222
- 762
Jamani mimi napata shida na ninaona kuna conflict of interest katika utekelezaji. Nikichukulia mfano structure ya shirika la umma kama Tanesco na mengine. Leo ngoja tujadili Tanesco.
TANESCO
1. Kuna Management ya Tanesco
2. Kuna Board ya Wakurugenzi
3. Kamati ya Nishati na Madini
4. Wizara ya Nishati na Madini.
Ok, who is the decision maker? nani anafanya nini?
I am serious
TANESCO
1. Kuna Management ya Tanesco
2. Kuna Board ya Wakurugenzi
3. Kamati ya Nishati na Madini
4. Wizara ya Nishati na Madini.
Ok, who is the decision maker? nani anafanya nini?
I am serious