I dont need you

Sanda Matuta

JF-Expert Member
May 9, 2007
949
134
I don´t need you
I don´t need friendship
And I don´t need flowers in the Spring
and don´t need you
And you surely don´t need me.

I don´t need love and affection
And I don´t need peace and harmony
And I don´t need you
And you surely don´t need me.

But we both want it bad enough
Yes, we both want it, don´t we?
I don´t need you, baby
And I know you don´t need me.

I don´t need your loving arms around me
All I need is to be free
That´s what I keep telling myself
And I tell you: “you don´t need me”.

I don´t need children in my old age
No more cluttered leaves around the trees
And I don´t need you
We don´t need eachother baby
We don´t need eachother baby, or do we?


Wakulu,

Huo ni wimbo wa Nguli wa muziki wa mahazi ya COUNTRY KENNY ROGERS.

Katika wimbo huo kuna mambo mengi yana nitatiza hasa kwenye maana harisi ya maneno hayo anyo jaribu huyo babu kumwambia mpenzi wake.
Hivi ni kwamba anamwambia hamtaki,anamtaka,anataka NGONO tu au mengine mengi mnaweza kuyaibua kutokana na wimbo huu.
Kazi ya FASIHI mara nyingi inakua na majibu tofauti tofauti kulingana na mtu na mazingira yake.
Ki jiwe chenu hiki karibuni..........................
 
Hapo ni mwajiriwa na mwajiri wake. Mwajiriwa anasema hamhitaji mwajiri wake ila anataka mshahara tu, yaani pesa, ambazo hata mwajiri pia anazihitaji. Mpaka hapo..?
 
Hapo ni mwajiriwa na mwajiri wake. Mwajiriwa anasema hamhitaji mwajiri wake ila anataka mshahara tu, yaani pesa, ambazo hata mwajiri pia anazihitaji. Mpaka hapo..?

Haha..........haa......!

Mkuu TAFISIDA yako imeenda shule.
sawa wacha tuone wenye mtazamo tofauti na wako
 
Political twist: Hapo ni wananchi na serikali yao (chini ya CCM):


I don´t need you
I don´t need friendship
And I don´t need flowers in the Spring
and don´t need you
And you surely don´t need me.

CCM ya nini, CCM ya nini,
Kwanini inatubembeleza sana wapiga kura nyakati za uchaguzi?
Hatuihitaji, nayo haituitaji, tumeona pale chaguzi zinapopita inavyotusahau.


I don´t need love and affection
And I don´t need peace and harmony
And I don´t need you
And you surely don´t need me.

Tumekizoea mno chama hiki,
Amani na utulivu kama kisingizio kimepitwa na muda.


But we both want it bad enough
Yes, we both want it, don´t we?
I don´t need you, baby
And I know you don´t need me.

Wote tunapenda maendeleo ya nchi yetu,
Ndiyo sote tunapenda hayo maendeleo,
Lakini kati yetu, baada ya uchaguzi hatuhitajiani. Tumeyaona.

I don´t need your loving arms around me
All I need is to be free
That´s what I keep telling myself
And I tell you: "you don´t need me".

Hatuhitaji chama kimoja kuwa ndiyo mwanzo na mwisho wa yote,
Hatuhitaji kung'ang'aniwa na chama hiki kama vile ni mama yetu tusiyeweza kumtosa.
Tunachohitaji ni uhuru. Uhuru wa kuchagua tunayemtaka katika muda tutakaopenda sisi.
Tunaamini tunaweza. Usitung'ang'anie na kutulaghai, unajua hili na tumeshakuambia na tutazidi kukuambia.

I don´t need children in my old age
No more cluttered leaves around the trees
And I don´t need you
We don´t need eachother baby
We don´t need eachother baby, or do we?

Miaka arobaini na ahadi zako haujatekeleza,
Tumechoka na hatuhitaji ahadi nyingine za ziada,
Umeshatuangusha vya kutosha miaka nenda rudi,
Ifike wakati tukubali kuwa mahusiano kati yetu si endelezi tena.
 
Political twist: Hapo ni wananchi na serikali yao (chini ya CCM):


I don´t need you
I don´t need friendship
And I don´t need flowers in the Spring
and don´t need you
And you surely don´t need me.

CCM ya nini, CCM ya nini,
Kwanini inatubembeleza sana wapiga kura nyakati za uchaguzi?
Hatuihitaji, nayo haituitaji, tumeona pale chaguzi zinapopita inavyotusahau.


I don´t need love and affection
And I don´t need peace and harmony
And I don´t need you
And you surely don´t need me.

Tumekizoea mno chama hiki,
Amani na utulivu kama kisingizio kimepitwa na muda.


But we both want it bad enough
Yes, we both want it, don´t we?
I don´t need you, baby
And I know you don´t need me.

Wote tunapenda maendeleo ya nchi yetu,
Ndiyo sote tunapenda hayo maendeleo,
Lakini kati yetu, baada ya uchaguzi hatuhitajiani. Tumeyaona.

I don´t need your loving arms around me
All I need is to be free
That´s what I keep telling myself
And I tell you: “you don´t need me”.

Hatuhitaji chama kimoja kuwa ndiyo mwanzo na mwisho wa yote,
Hatuhitaji kung'ang'aniwa na chama hiki kama vile ni mama yetu tusiyeweza kumtosa.
Tunachohitaji ni uhuru. Uhuru wa kuchagua tunayemtaka katika muda tutakaopenda sisi.
Tunaamini tunaweza. Usitung'ang'anie na kutulaghai, unajua hili na tumeshakuambia na tutazidi kukuambia.

I don´t need children in my old age
No more cluttered leaves around the trees
And I don´t need you
We don´t need eachother baby
We don´t need eachother baby, or do we?

Miaka arobaini na ahadi zako haujatekeleza,
Tumechoka na hatuhitaji ahadi nyingine za ziada,
Umeshatuangusha vya kutosha miaka nenda rudi,
Ifike wakati tukubali kuwa mahusiano kati yetu si endelezi tena.



SALUTE ! KWAKO MKULU STEVE.............

AS i said earlier in my 1 post KAZI YA FASIHI........
inaweza kuwa na majibu mengi.

BROVE MKULU
 
But we both want it bad enough
Yes, we both want it, don´t we?
I don´t need you, baby
And I know you don´t need me.

Jibu lako lipo kwenye ubeti huu mkulu,
Jamaa anamwambia hamuhitaji kama mpenzi, wala hahitaji bahshasha zozote za mtu na mpenzi wake, yeye anahitaji kumaliza hamu yake tu ya majambos basi, akihitaji tena atakuja ila kuitana sweet, darling, honey, wa ubani hataki hayo
 
But we both want it bad enough
Yes, we both want it, don´t we?
I don´t need you, baby
And I know you don´t need me.

Jibu lako lipo kwenye ubeti huu mkulu,
Jamaa anamwambia hamuhitaji kama mpenzi, wala hahitaji bahshasha zozote za mtu na mpenzi wake, yeye anahitaji kumaliza hamu yake tu ya majambos basi, akihitaji tena atakuja ila kuitana sweet, darling, honey, wa ubani hataki hayo



Haha ha ha .................Good.!
However,(for the record) napenda kuwa tofauti kabisa i mean the opposite of your thoughts concerning the context of the song MKULU.
Ila silazimishi mtu kuwa upande wangu...maana mimi nadhani jamaa (mwimbaji) anautaka MZIGO wake ila ametumia lugha isiyo ya moja kwa moja katika kufanya kazi hiyo ileta maan zaidi ya mmoja soma vizuri btn lines
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom