Hivi visiwa vya Ukara na Ukerewe vimesahauliwa sana,labda serikali ya Tanganyika itaviweka viwe part ya sehemu ya Tanganyika tena.
Akina Msekwa hawakufanya any good katika maendeleo .I tell it is very beautiful kama tungevitangaza duniani tungekuwa na watalii wengi sana.Ni mara chache kisiwa chenye watu kuwa katika ziwa!!!mara nyingi visiwa vyenye watu viko baharini.
Kodi za Watanganyika zinaendesha Zanzibar,imagine hela hizo zingemwagwa Ukara au Ukerewe?
Akina Msekwa hawakufanya any good katika maendeleo .I tell it is very beautiful kama tungevitangaza duniani tungekuwa na watalii wengi sana.Ni mara chache kisiwa chenye watu kuwa katika ziwa!!!mara nyingi visiwa vyenye watu viko baharini.
Kodi za Watanganyika zinaendesha Zanzibar,imagine hela hizo zingemwagwa Ukara au Ukerewe?