I can't let my country go to the dogs, Nyerere - 1995

nasikia nyerere aliwahi kushangaa lowasa anapata wapi hela,,,,,na kuwa hafai kupewa ikulu?
 
'I Can not let my country go to the dogs' Hii ni kauli ambayo haijawahi kutenguliwa, fafanuliwa wala kuhojiwa iliyowahi kutolewa na Mwl. Nyerere dhidi ya akina 'UKAWA' alipokuwa akimfanyia kampeni ya urais Mh. Benjamin William Mkapa mwaka 1995.

kauli hii ya Nyerere ilimaanisha nini? UKAWA mnaikumbuka kauli hii bado? Mbwa wa Nyerere ni akina nani?

Wako wapi? Lini? Kwa namna gani? na kwa sababu gani?. Nchi yake ipi isiende kwa mbwa hao kwanini? Je, yanayotokea wakati wa chaguzi leo yana uhusiano na kauli hii ya Nyerere? Nani ajitokeze kuitengua kauli hii?

UKAWA angalieni chanzo cha tatizo kwanza kabla ya matokeo yake. Nyerere mnayemheshimu alishawaita mbwa, na iliyosemwa imesemwa na aliyoandikwa imeandikwa pia.
Which Nyerere? The one who is in the Grave right now?

If that is the case, he then went in the grave with his country he talked about!!

What we have now, is our country and not his. So we can give it to whoever we think is the right person to take care of it!!
 
'I Can not let my country go to the dogs' Hii ni kauli ambayo haijawahi kutenguliwa, fafanuliwa wala kuhojiwa iliyowahi kutolewa na Mwl. Nyerere dhidi ya akina 'UKAWA' alipokuwa akimfanyia kampeni ya urais Mh. Benjamin William Mkapa mwaka 1995.

kauli hii ya Nyerere ilimaanisha nini? UKAWA mnaikumbuka kauli hii bado? Mbwa wa Nyerere ni akina nani?

Wako wapi? Lini? Kwa namna gani? na kwa sababu gani?. Nchi yake ipi isiende kwa mbwa hao kwanini? Je, yanayotokea wakati wa chaguzi leo yana uhusiano na kauli hii ya Nyerere? Nani ajitokeze kuitengua kauli hii?

UKAWA angalieni chanzo cha tatizo kwanza kabla ya matokeo yake. Nyerere mnayemheshimu alishawaita mbwa, na iliyosemwa imesemwa na aliyoandikwa imeandikwa pia.

Maswali uliyoiliza ni mazuri mno. Ulichokosea ni kusema yanatakiwa kujibiwa na ukawa. Kwanini si CCM? ACT na wengineo? Je wewe unawajua mbwa wa nyerere? Kama ndivyo ungewataja kabla ya kuwahusisha na umoja au chama chochote. Na ukumbuke wakati huo ndio Jakaya kikwete alipokatwa pia.

Vipi kama nchi ya Nyerere ilikwenda kwa Mbwa mwaka 2005 na 2010?

Vipi kama nchi ya Nyerere tayari inaliwa na Mbwa ndio maana watu wameshtuka na wanatakuwaangamiza mbwa?

Nakuungwa mkono kuwa kauli ya Nyerere yafaa kufafanuliwa na kila chama na kuhusishwa na yote yanayotekea sasa.
 
DOGS ILIKUWA NA MAANA KUBWA SANA KWA WAKATI HUO MAANA HATA RAIS WETU WA SASA NAYE KUMBUKA ALIITWA DOG NA MWL JKN.
DHAMA ZILE ZIMESHAPITA SASA TUENDE NA MAPYA

N.B/
ENDAPO MWL JKN ANGELIENDELEA KUWA KUWA HAI MPAKA LEO HII,""FAHAMU KABISA HATA URAIS KWA KIKWETE USINGELI WEZEKANA KAMWE""
ii
 
Toa hoja, Nyerere aliongea hayo wakati akimnadi Mkapa dhidi ya Lyatonga Mrema (mpinzani wa mgombea wa CCM kutoka NCCR). NCCR leo iko ndani ya ukawa. Kwa vigezo vya Nyerere wakati ule mbwa ni mtu au kundi lolote nje ya CCM. Yeye alikuwa anamaanisha kuwa CCM ina katiba, sera na watu makini wanaoweza kuchuja watu waovu (mbwa) ndani ya chama wasiponyoke na kupewa madaraka ya kuiongoza nchi kuliko vyama vya upinzani ambavyo alikuwa anaviona kama dodoki linaloweza kufyonza na kuruhusu kila kitu kupita kwa urahisi. Yeye alikuwa haamini kama Mrema na NCCR walikuwa na uwezo na mtandao wa kuingoza nchi hii. Je, yale yalikuwa mawazo yake binafsi au ni mawazo ya CCM, serikali na vyombo vya dola? Je, mawazo yake yalikuwa kwa Mrema na NCCR tu kwa wakati ule au ni maoni yake ya jumla kuhusu vyama vyote vya upinzani kwa nyakati zote za uhai wa taifa hili? Je, mawazo yake yale yalikuwa na usahihi kiasi gani? Nani atufafanulie? Maana Nyerere alijipambanua kuwa nchi hii ni yake (my country), hivyo alikuwa na misimamo mikali kuhusu Muungano, Azimio la Arusha, na bila shaka CCM kuendelea kutawala nchi hii milele kwa njia yoyote ile iwayo. Yeye alikuwa akiamini ni CCM pekee inayoweza kudumisha muungano kama ulivyo, ni CCM pekee yenye uwezo wa kupambana na ukabila na udini ndani ya nchi hii, kwa kuwa kwa wakati ule alikuwa akinusa ukabila NCCR na Chadema na udini CUF na NRA.

"watanzania wanataka mabadiliko, wasipoyapata ndani ya CCM watayatafuta nje ya CCM".
 
Which Nyerere? The one who is in the Grave right now?

If that is the case, he then went in the grave with his country he talked about!!

What we have now, is our country and not his. So we can give it to whoever we think is the right person to take care of it!!
I appreciate your comment! Let's stop this #Nyerereworship , the poor guy died long time ago, he cannot make any decision for us!
 
Interetation of events and issues ni jambo ambalo huwasumbua wengi na hasa watanzania. Jana kwenye post nilidokeza kuhusu statement hii ya Nyerere. Lakini watu wanataka kutafsiri kwa namna wanavyotaka iwe kwa manufaa ya upande wanaounga mkono. Lakini ukweli utabaki kuwa katika mazingira yale wakati mwalimu anatoa statement hii alikuwa anamananisha kuwa hawezi kuacha nchi kwa wapinzani.
 
Which Nyerere? The one who is in the Grave right now?

If that is the case, he then went in the grave with his country he talked about!!

What we have now, is our country and not his. So we can give it to whoever we think is the right person to take care of it!!
Asante mkuu. Very philosophical answer kwa hawa watu
 
'I Can not let my country go to the dogs' Hii ni kauli ambayo haijawahi kutenguliwa, fafanuliwa wala kuhojiwa iliyowahi kutolewa na Mwl. Nyerere dhidi ya akina 'UKAWA' alipokuwa akimfanyia kampeni ya urais Mh. Benjamin William Mkapa mwaka 1995.

kauli hii ya Nyerere ilimaanisha nini? UKAWA mnaikumbuka kauli hii bado? Mbwa wa Nyerere ni akina nani?

Wako wapi? Lini? Kwa namna gani? na kwa sababu gani?. Nchi yake ipi isiende kwa mbwa hao kwanini? Je, yanayotokea wakati wa chaguzi leo yana uhusiano na kauli hii ya Nyerere? Nani ajitokeze kuitengua kauli hii?

UKAWA angalieni chanzo cha tatizo kwanza kabla ya matokeo yake. Nyerere mnayemheshimu alishawaita mbwa, na iliyosemwa imesemwa na aliyoandikwa imeandikwa pia.
 
And all together we agree with Mwl. Nyerere ..we cant let our country go to the dogs even this moment.
 
Mwalimu hakusema dogs ni vyama vya upinzani, alichomaanisha ni dogs ndani ya ccm, mwaka 1995 hakukuwa na changamoto yoyote ya wapinzani ya kumshtua Mwalimu, vyama vya upinzani vyote vilikuwa vipya, vichanga na bila ushindani wowote kwa ccm..."dogs" walikuwepo ndani ya ccm na bado wapo huko tena wanazidi kuongezeka, hata huyo Mkapa aliyemnadi, baadae alijuta kumnadi
 
Na ofcourse nakubaliana na Mwalimu "I can not let my country go to the dogs"
 
'I Can not let my country go to the dogs' Hii ni kauli ambayo haijawahi kutenguliwa, fafanuliwa wala kuhojiwa iliyowahi kutolewa na Mwl. Nyerere dhidi ya akina 'UKAWA' alipokuwa akimfanyia kampeni ya urais Mh. Benjamin William Mkapa mwaka 1995.

kauli hii ya Nyerere ilimaanisha nini? UKAWA mnaikumbuka kauli hii bado? Mbwa wa Nyerere ni akina nani?

Wako wapi? Lini? Kwa namna gani? na kwa sababu gani?. Nchi yake ipi isiende kwa mbwa hao kwanini? Je, yanayotokea wakati wa chaguzi leo yana uhusiano na kauli hii ya Nyerere? Nani ajitokeze kuitengua kauli hii?

UKAWA angalieni chanzo cha tatizo kwanza kabla ya matokeo yake. Nyerere mnayemheshimu alishawaita mbwa, na iliyosemwa imesemwa na aliyoandikwa imeandikwa pia.

Kama sijakosea Nyerere alikua binadamu na sio Mungu..na hizi statement za kumbambikizia mwacheni apumzike kwa amani ashuhudie ukombozi wa pili wa nchi akiwa huko juu....
 
Mwalimu hakusema dogs ni vyama vya upinzani, alichomaanisha ni dogs ndani ya ccm, mwaka 1995 hakukuwa na changamoto yoyote ya wapinzani ya kumshtua Mwalimu, vyama vya upinzani vyote vilikuwa vipya, vichanga na bila ushindani wowote kwa ccm..."dogs" walikuwepo ndani ya ccm na bado wapo huko tena wanazidi kuongezeka, hata huyo Mkapa aliyemnadi, baadae alijuta kumnadi

Wee acha tu watu na tafsiri zao... Maana halisi imepotoshwa
 
fjsfhksafkskfsfnjsfskfnskjfnsjfnskfnsjfnskfnjfnksfnsjkfnskfnsknfjsfnsjfnskfnsjfnsfsnjfnskfnsfnsjfnskfnsjfnsjfnsjfnsjf

Sorry

nilichomaanisha hapo juu ni kuwa

wagombea uraisi wakuu uchaguzi wa 1995 ni hawa

1. Mkapa
2. Lipumba
3. Mrema

Je katika hao, dogs ni yupi?
 
Mwalimu hakusema dogs ni vyama vya upinzani, alichomaanisha ni dogs ndani ya ccm, mwaka 1995 hakukuwa na changamoto yoyote ya wapinzani ya kumshtua Mwalimu, vyama vya upinzani vyote vilikuwa vipya, vichanga na bila ushindani wowote kwa ccm..."dogs" walikuwepo ndani ya ccm na bado wapo huko tena wanazidi kuongezeka, hata huyo Mkapa aliyemnadi, baadae alijuta kumnadi
Tujaribu kuwa wakweli,Nyerere alikuwa anazungumzia vyama vya upinzani vya kina Mabele Marando na wenzake, actually vyama hivyo vilipinga sana kauli ya Nyerere, leo hii mnataka kuzuga watu eti "Nyerere alizungumzia masuala ya CCM?"

Baba wa Taifa hakuwa binadamu anaye kurukupa tu alikuwa na kipaji cha kuaona mbali, alilo lishitukia wakati huo hivi sasa liko more pronouced leo kuliko wakati wowote ndani ya historia ya Taifa letu. Tusifanye makosa ya kupigia kura ya ndio Wagombea ambao track record zao zina walakini mkubwa, tusitegemee kwamba huluka zao zitabadirika over night na kuhanza kujali wananchi masikini,narudia kusema kwamba sirahisi kubadirisha inbuilt traits za wakwapuaji/mafisadi watajali mafisadi wenzao na sio walala hoi, wakati wa kupiga kura likumbuke sana hilo.
 
Tujaribu kuwa wakweli,Nyerere alikuwa anazungumzia vyama vya upinzani vya kina Mabele Marando na wenzake, actually vyama hivyo vilipinga sana kauli ya Nyerere, leo hii mnataka kuzuga watu eti "Nyerere alizungumzia masuala ya CCM?"

Baba wa Taifa hakuwa binadamu anaye kurukupa tu alikuwa na kipaji cha kuaona mbali, alilo lishitukia wakati huo hivi sasa liko more pronouced leo kuliko wakati wowote ndani ya historia ya Taifa letu. Tusifanye makosa ya kupigia kura ya ndio Wagombea ambao track record zao zina walakini mkubwa, tusitegemee kwamba huluka zao zitabadirika over night na kuhanza kujali wananchi masikini,narudia kusema kwamba sirahisi kubadirisha inbuilt traits za wakwapuaji/mafisadi watajali mafisadi wenzao na sio walala hoi, wakati wa kupiga kura likumbuke sana hilo.


Mwenyezi Mungu atuepushe na Balaa la Nchi yetu kutumbukia mikononi mwa "Mafisadi" kauli ya Nyerere ina maana sana sasa kuliko 1995. Nchi hii ina Utajiri mkubwa kuwahi kutokea hivyo tumuombe Mwenyezi Mungu atupatie Mtu muadilifu.

Vijana wengi hawajui Nyerere alimaanisha nini, Marando Mabere alihangaika sana na Kauli hii Bahati mbaya ameamua kujitenga na Siasa za Chadema baada ya kugundua kwamba kuna Utapeli
 
Tujaribu kuwa wakweli,Nyerere alikuwa anazungumzia vyama vya upinzani vya kina Mabele Marando na wenzake, actually vyama hivyo vilipinga sana kauli ya Nyerere, leo hii mnataka kuzuga watu eti "Nyerere alizungumzia masuala ya CCM?"

Baba wa Taifa hakuwa binadamu anaye kurukupa tu alikuwa na kipaji cha kuaona mbali, alilo lishitukia wakati huo hivi sasa liko more pronouced leo kuliko wakati wowote ndani ya historia ya Taifa letu. Tusifanye makosa ya kupigia kura ya ndio Wagombea ambao track record zao zina walakini mkubwa, tusitegemee kwamba huluka zao zitabadirika over night na kuhanza kujali wananchi masikini,narudia kusema kwamba sirahisi kubadirisha inbuilt traits za wakwapuaji/mafisadi watajali mafisadi wenzao na sio walala hoi, wakati wa kupiga kura likumbuke sana hilo.

Alimaanisha nchi wasipewe waroho wa madaraka na wanaokimbilia ikulu tena kwa kutumia fedha na ambao hawana mapenzi ya dhati kwa wananchi maskini.pia wenye hulka ya udikteta. Wakati ule alikuwa Mrema na kwa sasa ni lowasa.
 
Back
Top Bottom