'I Can not let my country go to the dogs' Hii ni kauli ambayo haijawahi kutenguliwa, fafanuliwa wala kuhojiwa iliyowahi kutolewa na Mwl. Nyerere dhidi ya akina 'UKAWA' alipokuwa akimfanyia kampeni ya urais Mh. Benjamin William Mkapa mwaka 1995.
kauli hii ya Nyerere ilimaanisha nini? UKAWA mnaikumbuka kauli hii bado? Mbwa wa Nyerere ni akina nani? Wako wapi? Lini? Kwa namna gani? na kwa sababu gani?. Nchi yake ipi isiende kwa mbwa hao kwanini? Je, yanayotokea wakati wa chaguzi leo yana uhusiano na kauli hii ya Nyerere? Nani ajitokeze kuitengua kauli hii? UKAWA angalieni chanzo cha tatizo kwanza kabla ya matokeo yake. Nyerere mnayemheshimu alishawaita mbwa, na iliyosemwa imesemwa na aliyoandikwa imeandikwa pia.
Mkuu
Wakati Mwl akitoa tamko hilo sidhani kama UKAWA ilikuwepo.
2. Naheshimu mawazo yako lakini nafikiri mwl alifananisha walafi kama mbwa. Na hao si lazima wawe ukawa tu. Katika sakata la escrow sidhani kama kuna mbwa kutoka Ukawa?.
3. Nashauri tuache ushabiki wakijinga na tuweke masilahi ya taifa mbele.