I am Ignorant, sijawahi waona Wanawake Waislamu wakienda Msikitini

Habarini, sijui nimepofushwa macho au! Ni kwamba sijawahi waona wanawake waislamu hapa Tz wanaenda msikitini. Ninapokuwa mida fulani vijiweni, ikifika adhana, ni wanaume tu hujisogeza msikitini. Pia siku ya ijumaa, sijawahi waona au hata kumsikia mwanamke wa kiislamu akisema naenda msikitini.
Hivi ni mimi tu au ushamba wangu au ni kweli hawaendagi msikitini au huwa wanaenda kwa siri??
FaizaFoxy.
Ok baada ya kupata majibu je ni yapi yalikuwa kichwani kwako ulipokuwa huoni wanawake kwenda msikitini?
 
Habarini, sijui nimepofushwa macho au! Ni kwamba sijawahi waona wanawake waislamu hapa Tz wanaenda msikitini. Ninapokuwa mida fulani vijiweni, ikifika adhana, ni wanaume tu hujisogeza msikitini. Pia siku ya ijumaa, sijawahi waona au hata kumsikia mwanamke wa kiislamu akisema naenda msikitini.
Hivi ni mimi tu au ushamba wangu au ni kweli hawaendagi msikitini au huwa wanaenda kwa siri??
FaizaFoxy.
Sioni jibu labda pengine ni ujinga wangu,hebu nisaidie hapo.
Hawaendagi msikitini au huwa wanaenda kwa siri?? Ndo nilivyokuwa nafikiri.
 
Habarini, sijui nimepofushwa macho au! Ni kwamba sijawahi waona wanawake waislamu hapa Tz wanaenda msikitini. Ninapokuwa mida fulani vijiweni, ikifika adhana, ni wanaume tu hujisogeza msikitini. Pia siku ya ijumaa, sijawahi waona au hata kumsikia mwanamke wa kiislamu akisema naenda msikitini.
Hivi ni mimi tu au ushamba wangu au ni kweli hawaendagi msikitini au huwa wanaenda kwa siri??
FaizaFoxy.
Hawana dini hao ke so wapo kwa kulazimishwa tu na wengi wao hawaupendi uislam na waume zao, nipo nao kazini kwangu utackia bora niolewe na mkristo kuliko wa Mamdogo nawahurumiaga sana, over
 
Swalaah ya Jama’ah ni waajib kwa wanaume na sio kwa wanawake
Imependekezwa kwenda kuswali Msikitini Swalaah za usiku kwa wanaume na sio kwa wanawake.
Wanawake hawalazimiki kuhudhuria Swalaah ya Ijumaa, wanaume ni lazima
Swalaah ya ‘Iyd ni waajib kwa wanaume, lakini si kwa wanawake. Hata hivyo imependekezwa kwa wanawake kuhudhuria ikiwa kutakuwa hakuna jambo litakaloleta fitna.
 
Mkuu mungu wangu ni bora zaidi kuliko huyo wenu.

Naskia ma padri wanataka waruhusiwe kuoa
Kitu kinaitwa mungu hakipo, labda unionyeshe kua huyu mungu ndio huyu.

Ukisema unaamini maana yake huna uhakika, sasa kitu usichonacho uhakika utasemaje kipo?

Unamuamini mama yako au baba yako kwa kua unamuona, unamwamini Mungu ulimuona wapi?

Ukisema unaamini maana yake uko tayari pia kudanganywa.

Nikupe mfano mdogo kusaidia akili yako, kama mimi na wewe tumekaa mahala, akapita muuza machungwa, mimi nikanunua chungwa nikala, ukaniuliza hayo machungwa matam au machachu, nikakujibu matam.

Baadae wewe ukiwa umekaa na rafiki yako mwingine yule muuza machungwa akapita, rafiki yako akauliza kama yale machungwa matam au machachu, wewe ukajibu ni matam ila nimeambiwa na flani mimi sijaonja.

Je unakua na uhakika gani kama mimi nimekwambia kweli au nimekudanganya, kama nilikudanganya maana yake wewe pia umendanganya rafiki yako, kama nilikwambia kweli, wewe pia utamwambia ukweli rafiki yako, na kama nilichanganya uongo na ukweli wewe pia utakua umefanya hivyo kwa rafiki yako.

Kuamini maana yake ni kukubali chochote unachoambiwa bila kua umehakikisha mwenyewe. Na hii ni mojawapo ya ishara ya ugongwa wa akili, utaahira au mtindio wa ubongo. Kukubali chochote bila kuhoji.

Sasa naomba uniambie wewe huyu mungu wako unaesema ni bora yuko wapi, anafanya nini na umemlinganisha na mungu gani ukaona yeye ni bora?
 
Swalaah ya Jama’ah ni waajib kwa wanaume na sio kwa wanawake
Imependekezwa kwenda kuswali Msikitini Swalaah za usiku kwa wanaume na sio kwa wanawake.
Wanawake hawalazimiki kuhudhuria Swalaah ya Ijumaa, wanaume ni lazima
Swalaah ya ‘Iyd ni waajib kwa wanaume, lakini si kwa wanawake. Hata hivyo imependekezwa kwa wanawake kuhudhuria ikiwa kutakuwa hakuna jambo litakaloleta fitna.
Ahsante kwa ufafanuzi
 
Kitu kinaitwa mungu hakipo, labda unionyeshe kua huyu mungu ndio huyu.

Ukisema unaamini maana yake huna uhakika, sasa kitu usichonacho uhakika utasemaje kipo?

Unamuamini mama yako au baba yako kaa kua unamuona, unamwamini Mungu ulimuona wapi?

Ukisema unaamini maana yake uko tayari pia kudanganywa.

Nikuoe mfano mdogo kusaidia akili yako, kama mimi na wewe tumekaa mahala, akapita muuza machungwa, mimi nikanunua chungwa nikala, ukaniuliza hayo machungwa matam au machachu, nikakujibu matam.

Baadae wewe ukiwa umekaa na rafiki yako mwingine yule muuza machungwa akapita, rafiki yako akauliza kama yale machungwa matam au machachu, wewe ukajibu ni matam ila nimeambiwa na flani mimi sijaonja.

Je unakua na uhakika gani kama mimi nimekwambia kweli au nimekudanganya, kama nilikudanganya maana yake wewe pia umendanganya rafiki yako, kama nilikwambia kweli, wewe pia utamwambia ukweli rafiki yako, na kama nilichanganya uongo na ukweli wewe pia utakua umefanya hivyo kwa rafiki yako.

Kuamini maana yake ni kukubali chochote unachoambiwa bila kua umehakikisha mwenyewe.

Sasa naomba uniambie wewe huyu mungu wako unaesema ni bora yuko wapi, anafanya nini na umemlinganisha na mungu gani ukaona yeye ni bora?
Mungu wetu waislam ni bora kuliko mungu wa wakristo. Jibu ni rahisi tu.
Mungu gani eti aliuawa na wanadm halafu eti baaa ya siku tatu akajifufua....!
Ni mashaka matupu!
 
Habarini, sijui nimepofushwa macho au! Ni kwamba sijawahi waona wanawake waislamu hapa Tz wanaenda msikitini. Ninapokuwa mida fulani vijiweni, ikifika adhana, ni wanaume tu hujisogeza msikitini. Pia siku ya ijumaa, sijawahi waona au hata kumsikia mwanamke wa kiislamu akisema naenda msikitini.
Hivi ni mimi tu au ushamba wangu au ni kweli hawaendagi msikitini au huwa wanaenda kwa siri??
FaizaFoxy.
Kaka kando n.a. msikiti utawaona wengi sana!
 
Hawana dini hao ke so wapo kwa kulazimishwa tu na wengi wao hawaupendi uislam na waume zao, nipo nao kazini kwangu utackia bora niolewe na mkristo kuliko wa Mamdogo nawahurumiaga sana, over
Kwan Hao Ndio wanawasemea wanawake wote wa kiislam wote?? Waambie wabadili wanasubiri nini si wanafanya kazi wanaingiza Kipato maana wanajitambua wana Subiri nini? Na wewe unajiita great thinker Hongera
 
Kitu kinaitwa mungu hakipo, labda unionyeshe kua huyu mungu ndio huyu.

Ukisema unaamini maana yake huna uhakika, sasa kitu usichonacho uhakika utasemaje kipo?

Unamuamini mama yako au baba yako kwa kua unamuona, unamwamini Mungu ulimuona wapi?

Ukisema unaamini maana yake uko tayari pia kudanganywa.

Nikupe mfano mdogo kusaidia akili yako, kama mimi na wewe tumekaa mahala, akapita muuza machungwa, mimi nikanunua chungwa nikala, ukaniuliza hayo machungwa matam au machachu, nikakujibu matam.

Baadae wewe ukiwa umekaa na rafiki yako mwingine yule muuza machungwa akapita, rafiki yako akauliza kama yale machungwa matam au machachu, wewe ukajibu ni matam ila nimeambiwa na flani mimi sijaonja.

Je unakua na uhakika gani kama mimi nimekwambia kweli au nimekudanganya, kama nilikudanganya maana yake wewe pia umendanganya rafiki yako, kama nilikwambia kweli, wewe pia utamwambia ukweli rafiki yako, na kama nilichanganya uongo na ukweli wewe pia utakua umefanya hivyo kwa rafiki yako.

Kuamini maana yake ni kukubali chochote unachoambiwa bila kua umehakikisha mwenyewe. Na hii ni mojawapo ya ishara ya ugongwa wa akili, utaahira au mtindio wa ubongo. Kukubali chochote bila kuhoji.

Sasa naomba uniambie wewe huyu mungu wako unaesema ni bora yuko wapi, anafanya nini na umemlinganisha na mungu gani ukaona yeye ni bora?
Daaah...mfukua makaburi !
 
Kitu kinaitwa mungu hakipo, labda unionyeshe kua huyu mungu ndio huyu.

Ukisema unaamini maana yake huna uhakika, sasa kitu usichonacho uhakika utasemaje kipo?

Unamuamini mama yako au baba yako kwa kua unamuona, unamwamini Mungu ulimuona wapi?

Ukisema unaamini maana yake uko tayari pia kudanganywa.

Nikupe mfano mdogo kusaidia akili yako, kama mimi na wewe tumekaa mahala, akapita muuza machungwa, mimi nikanunua chungwa nikala, ukaniuliza hayo machungwa matam au machachu, nikakujibu matam.

Baadae wewe ukiwa umekaa na rafiki yako mwingine yule muuza machungwa akapita, rafiki yako akauliza kama yale machungwa matam au machachu, wewe ukajibu ni matam ila nimeambiwa na flani mimi sijaonja.

Je unakua na uhakika gani kama mimi nimekwambia kweli au nimekudanganya, kama nilikudanganya maana yake wewe pia umendanganya rafiki yako, kama nilikwambia kweli, wewe pia utamwambia ukweli rafiki yako, na kama nilichanganya uongo na ukweli wewe pia utakua umefanya hivyo kwa rafiki yako.

Kuamini maana yake ni kukubali chochote unachoambiwa bila kua umehakikisha mwenyewe. Na hii ni mojawapo ya ishara ya ugongwa wa akili, utaahira au mtindio wa ubongo. Kukubali chochote bila kuhoji.

Sasa naomba uniambie wewe huyu mungu wako unaesema ni bora yuko wapi, anafanya nini na umemlinganisha na mungu gani ukaona yeye ni bora?
Namlinganisha kupitia aya hizi;

Sema; Mwenyezi Mungu ni Mmoja,

Mwenyezi Mungu pekee ndiye anayekusudiwa (anaombwa, ila yeye Mungu haombi kwa yeyote/chochote)

(Mwenyezi Mungu) Hakuzaa wala hakuzaliwa.

Wala hafanani na chochote !

Swadakalwahu liadhiim
 
Mungu wetu waislam ni bora kuliko mungu wa wakristo. Jibu ni rahisi tu.
Mungu gani eti aliuawa na wanadm halafu eti baaa ya siku tatu akajifufua....!
Ni mashaka matupu!
Huyo mungu wa wenu waislam yuko wapi?

Uwezo wako wa akili ni mdogo, kuna sehemu nimeongekea mungu wa wakristo hapa au kusema mimi ni mkiristo?

Naomba unionyeshe basi huyo mungu wenu ambae ni bora kuliko wa wakristo. Nataka kumuona nijue kweli ni bora kuliko wa wakiristo.
 
Huyo mungu wa wenu waislam yuko wapi?

Uwezo wako wa akili ni mdogo, kuna sehemu nimeongekea mungu wa wakristo hapa au kusema mimi ni mkiristo?

Naomba unionyeshe basi huyo mungu wenu ambae ni bora kuliko wa wakristo. Nataka kumuona nijue kweli ni bora kuliko wa wakiristo.
Mungu haonekani...hiyo ni sifa yake kuu. Sasa wewe unayetaka kukwona unakuwa ni mtu mwenye hasara kubwa!
 
Namlinganisha kupitia aya hizi;

Sema; Mwenyezi Mungu ni Mmoja,

Mwenyezi Mungu pekee ndiye anayekusudiwa (anaombwa, ila yeye Mungu haombi kwa yeyote/chochote)

(Mwenyezi Mungu) Hakuzaa wala hakuzaliwa.

Wala hafanani na chochote !

Swadakalwahu liadhiim

Yuko wapi huyo Mwenyezi Mungu? Nataka nikamuone.

Kama huwezi kunionyesha maana yake huyo au kitu kama hicho hakipo.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom