Hydroponic fodder, Mkombozi pekee wa wafugaji wa ng'ombe, kuku, nguruwe, mbuzi na kadhalika

Haya ma Hydroponic fodder ni sawana sungura,Kenyawafugaji wotewakubwa wa Kuku, Ng'ombe hakuna anaye tumia hii kitu, wanao itumia niwale wana uza, yaani anakuwa na kukuwake 6 wa kuzugia kuwalisha fodder au Ng'ombe wake mmoja, ila kiuhalisia hikitu haina tija
 
Haya ma Hydroponic fodder ni sawana sungura,Kenyawafugaji wotewakubwa wa Kuku, Ng'ombe hakuna anaye tumia hii kitu, wanao itumia niwale wana uza, yaani anakuwa na kukuwake 6 wa kuzugia kuwalisha fodder au Ng'ombe wake mmoja, ila kiuhalisia hikitu haina tija
ina tija sana tena sana - we hujajua tu. faida ya kufuga inapungua kutokana na gharama za kulisha kuwa kubwa.

Jambo jingine, wale ng'ombe walokufa karagwe kwa kukosa chakula wasingekufa kama wafugaji wangekuwa wkijua hii njia ya uzalishaji wa chakula hiki.
 
34d6bcc123d14f570308b9534cfaed41.jpg



Mm nlipewa hii formula
 
34d6bcc123d14f570308b9534cfaed41.jpg



Mm nlipewa hii formula
Chakula hicho ni kwa ajili ya kuku, ndani yake hakuna majani .. na hiyo ni shida sana kwa kuku wetu.

Chakula hiki huwezi kumulisha mbuzi wala nguruwe wala ng'ombe

Hydroponics ni chakula kwa ajili ya mifugo yote, sungura, kuku, ng'ombe, mbuzi, kondoo, bata n.k

Mfugaji wa ng'ombe anayetumia chakula hiki ana uhakika wa kupata maziwa zaidi ya lita 10, hii ni 0 grazing - mifugo haichoki.
 
Kilimo cha hyroponic fodder katika picha, inaelekea watu wengi hawajaelewa hii aina mpya ya kilimo cha kuotesha majani kwa ajili ya kulishia mifugo.

Chenge+hydroponics.jpg


Ni kilimo cha kuotesha majani kwa kutumia nafaka zenye virutubisho vingi hasa shairi, ngano, mtama, mahindi
Angalia huyu mkulima katika picha hapo juu. Ametayarisha mbegu zake kwenye try, angalia try za juu zipo tayari kulishia wanyama, inachukua siku sita au saba tangu mbengu zinapomwagwa kwenye try

Chege+with+fodder.jpg


Chakula cha mifugo kipo tayari mkulima anakiondoa kwenye try tayari kulishia wanyama.

cows.jpg

Mkulima analisha ng'ombe

aea68d143eac196a44c1e3c7211da94c.jpg

Kuku nao wanafurahia chakula chao.
 
Kama
Kilimo cha hyroponic fodder katika picha, inaelekea watu wengi hawajaelewa hii aina mpya ya kilimo cha kuotesha majani kwa ajili ya kulishia mifugo.

Chenge+hydroponics.jpg


Ni kilimo cha kuotesha majani kwa kutumia nafaka zenye virutubisho vingi hasa shairi, ngano, mtama, mahindi
Angalia huyu mkulima katika picha hapo juu. Ametayarisha mbegu zake kwenye try, angalia try za juu zipo tayari kulishia wanyama, inachukua siku sita au saba tangu mbengu zinapomwagwa kwenye try

Chege+with+fodder.jpg


Chakula cha mifugo kipo tayari mkulima anakiondoa kwenye try tayari kulishia wanyama.

cows.jpg

Mkulima analisha ng'ombe

aea68d143eac196a44c1e3c7211da94c.jpg

Kuku nao wanafurahia chakula chao.
Kama jina lako!

Ahsante ... nimefurahi sana,

Picha inabeba ujumbe mzito sana zaidi ya maneno. Naamini wale ambao wako tayari kuwasaidia wafugaji waeneze maarifa haya.
 
Waungwana naamini hamjambo!
Nitangulize shukrani za dhati kwenu wote mnaoutumia mda wenu vyema katika kuhakikisha yale mnayoyaelewa mnawaelekeza wengine.
Leo nataka niwajuze kile nilichokiona baada ya kupata maelezo mazuri kuhusu Hydroponic Fooder.

Kuna mjasiriamali mmoja alitoa maelekezo mazuri kuhusu namna ya kutengeneza chakula bora na kingi kwa mifugo kwa njia ya kisasa. Kweli nilinunua mahitaji na nikajaribu kutengeneza karibia mara mbili, nikawa nakwama.

Baadaye akajitokeza mjasiriamali mwingine akaelezea kwa kina na nashukuru sana kwa sababu alinilenga mimi binafsi kwa kunitumia PM. Nilipojaribu mara hii nilifanikiwa ila changamoto ikaja kwenye nutrients.

Nilifanikiwa kutafuta nutrients na bahati nzuri nikakutana na mtaalam ambaye kweli yeye aliwahi kutengeneza na ana uzoefu; tatizo kwake ni kwamba hana muda wa kufanya kazi hizo kwa sababu ametingwa na ajira. Alinipatia nutrients aina ya ID-Grow Green.

Bwana huyo pamoja na kwamba sikufahamiana naye kabla, alionesha nia ya kutaka kunifundisha na namshukuru Mungu yale aliyonifundisha niliyaelewa vyema.

Leo ni siku ya tatu tangu nimestawisha na naona maendeleo ni mazuri sana. Kwa kila hatua nitakayopitia nitawajuza ili wale wenye nia ya kuyafanyia kazi waweze kufanya huko waliko.

Angalizo: Kuna nutrients ambazo ukizitumia zinaweza zikasababisha madhara makubwa kwa mifugo yako na walaji pia.
Baada ya siku 9 nitakuja na full habari kuhusiana na kile nitakachokuwa nimekizalisha. Wenye nia msikose kuniuliza ili twende wote sambamba kwenye zoezi hili.
Huu utaalamu mzuri sana.
Kiukweli ukikutana na mtaalam wala hautatumia muda mwingi kuelewa kinachoendelea. Mimi atakayehitaji maelezo namkaribisha - tena hatua kwa hatua. Kikubwa ni kuandaa muda wa kupeana maelekezo. Ukifanikiwa wewe unakuwa umesaidia jamii.

1. KIlo moja ya mtama / ngano ni Tshs 2,000/= kwa hapa Mwanza, na hiyo ni bei ya rejareja. Ina maana ukinunua kwa jumla utakuwa chini.
2. Kuhusu kiasi cha kulisha ng'ombe mmoja binafsi sijafatilia - mi nafuga kuku, kumu mia wanatumia kilo nne za H.Fooder

Hydroponics Fooder ni nini?
Ni utaratibu wa kuotesha mazao aina ya mtama, ngano, shayiri, ulezi n.k bila kutumia udongo. Ina maana utakachokiotesha kinatumika chote kama chakula kuanzia mizizi hadi majani. Unaotesha kwenye trai na unatumia virutubisho vyenye wingi wa NPK, kwa sasa mimi natumia DI Grow green pamoja na EM na mbegu zinaota vizuri.
Kama wewe ni mfugaji na una shida na uzalishaji wa chakula tuwasiliane ili nikuelekeze.
Trei zipo
Mbegu ziko sokoni
Maji yapo hapo ulipo
Nutrients unaagiza popote
SOP's ndo muhimu na utaelekezwa ...
Uliza jingine

Booster unachanganya na maji unayomwagilia.

Kwa wale mliopo sumbawanga mni_pm niwafundishe.... Naijua vizuri.. Karibuni.
 
hongera mtoa uzi, naona mapinduzi yanaendelea! hv ndege mmoja hasa kuku anastahili kula kiasi gani cha hiyo fodder kwa siku nzima? nahitaji makadirio tafadhali...
 
Hydroponics Fooder ni nini?
Ni utaratibu wa kuotesha mazao aina ya mtama, ngano, shayiri, ulezi n.k bila kutumia udongo. Ina maana utakachokiotesha kinatumika chote kama chakula kuanzia mizizi hadi majani. Unaotesha kwenye trai na unatumia virutubisho vyenye wingi wa NPK, kwa sasa mimi natumia DI Grow green pamoja na EM na mbegu zinaota vizuri.
Kama wewe ni mfugaji na una shida na uzalishaji wa chakula tuwasiliane ili nikuelekeze.
Trei zipo
Mbegu ziko sokoni
Maji yapo hapo ulipo
Nutrients unaagiza popote
SOP's ndo muhimu na utaelekezwa ...
Uliza jingine
Mkuu, "SOP" ndio nini. ?Naomba msaada hapo..
 
hongera mtoa uzi, naona mapinduzi yanaendelea! hv ndege mmoja hasa kuku anastahili kula kiasi gani cha hiyo fodder kwa siku nzima? nahitaji makadirio tafadhali...
Gram 80 tu, kwani msosi wake kamili ni gm 125 tu kwa siku.
 
Back
Top Bottom