jameshyela
JF-Expert Member
- Oct 13, 2022
- 1,919
- 15,078
Naomba kujua kuhusu soko la mkojo wa sungura.
Banda lina umuhimu gani?
Gharama za kutengeneza chakula cha mifungo hautaji kuanza na vitu vya gharama kubwa, muhimu ni kutenga eneo, kisha jenga banda kama la kuku, juu funika kwa plastic pembeni pia funika kwa plastic. Tengeneza vichanja vya miti vya kushikilia tray za bati au plastic. Kichanja kimoja kinaweza kuwa na row tatu, nne, sita au kumi itategemea urefu wa banda lako.
Zipo mbegu na virutubisho vingine unachanganya pamoja kisha unamwaga juu ya tray na kumwagilia maji, baada siku mbili mbegu huchipua na baada ya siku nane tayari unakuwa na malisho kwa mifungo yako. Kumbuka kilimo hiki hakihitaji udongo kuoteshea mbegu.
Ukiwa na banda la futi 20 kwa 10 linatosha kuotesha nyasi za kulisha ng'ombe 50 wakubwa, au kulishia mbuzi zaidi ya 150 kwa mwaka mzima.
Kumbe mkojo wa sungura ni bidha😀Naomba kujua kuhusu soko la mkojo wa sungura.