Nakapanya
JF-Expert Member
- May 22, 2012
- 2,096
- 708
Leo nimejikuta nimekumbuka kile kisa kizuri na cha kusikitisha cha Samson na Delilah,kisa hiki ni chenye kusisimua na chenye kujenga hisia nyingi katika mioyo yetu,kubwa zaidi kina mafundisho yake na ujumbe mwingi kwa watu tuishio katika dunia ya leo yenye changamoto nyingi katika mahusiano.Binafsi ninayo mengi ya kujifunza kutoka katika kisa hiki,ila ningependa kujua wenzangu tulijifunza/tunajifunza nini kutoka kwenye kisa hiki?.
NAWASILISHA.