alikuwapo kwenye majadiliano ya makinikiaXavi ndio nani?
Mtu anapost anachoelewa yeye na ku assume kuwa wote wanaelewa.Xavi ndio nani?
Alikuwa kiungo mchezeshaji namba 6 wa timu ya barcelona na ndiye aliyeifanya club ya barcelona akishirikiana na wenzake uwanjan iogopeke zaidi duniani kipindi anaitumikia barcelona ni wa kwanza kwenye picha toka kushoto ameshika kijikoXavi ndio nani?
Mheshimu sana huyo jamaa katupambania sana kwenye majadiliano ya makinikiaXavi ndio nani?
Macho yangu au ni mandi au biriani hiyo? Anakosa raha buree ya kula kwa kijiko! Raha yq msosi wa namna hiyo uliwe kwa mkono, tonge ifinyangwe khasaa! Na majilisi hiyo maashaaAllaah ipo poa!Ladha ya biriani ni kuifinyanga
HII SIYO KUS KUS??????Ladha ya biriani ni kuifinyanga
Huyu aliyeshika kijiko.Xavi ndio nani?
KARIBU JOSE IPO MTAANI KWETUDaah nina hamu na hiyo menu balaa