Huyu waziri wa Saudi Arabia alipokuja Tanzania, alimuomba nini Rais Magufuli?

HNIC

JF-Expert Member
Sep 6, 2011
1,898
2,195
000-84384401458813087544_0.jpg


Alikuja kipindi kile Saudi Arabia imevamia Yemen kwa mgongo wa kumrejesha rais aliyepinduliwa na wakati huohuo walikuwa wanasaidia Magaidi kuipindua serikali ya Syria.

Saudi Arabia wakawa na wakati mgumu sana Yemen na mwishowe wakaanza kuzihonga pesa nchi maskini za Afrika ziwaunge mkono kwenye vita yao huko Yemen. Baadhi ya nchi zilikubali na zingine zilikataa.

Huyu waziri wao wa mambo ya nje (pichani hapo juu) moja kayti ya nchi alizokwenda kuomba ni Tanzania.

Nyote mnajua sisi moja ya sera yetu kuu ya mambo ya nje ni KUTOFUNGAMANA NA UPANDE WOWOTE. Nimetazama list ya nchi zilizopeleka wanajeshi Yemeni kuungana na saudi Arabia Tanzania haimo na hivyo ni wazi ombi lao lilikataliwa na Rais wetu ambaye sera yake kubwa ni Maslahi ya Tanzania kwanza.

Sasa hivi kuna ugomvi mkubwa kati ya Saudi Arabia na Qatar na saudi Arabia inatumia nguvu ya pesa kuziambia nchi maskini kusitisha mahusiano na nchi ya Qatar.

Natumai kuwa mwanadolomasia nambari 1 wetu waziri Augostino Mahiga atamshauri Mheshimiwa Rais kuwa hatutofungamana na upande wowote kwenye ugomvi wao huko kwenye nchi za GCC na pia Tanzania itakuwa iko Tayari kutumia wataalam wake kuwapatanisha Saudi Arabia na Qatar kwani hiyo ndio sifa yetu. Na hawa wote wanakaribishwa Arusha kuja kupatanishwa.
 
Tuzikubali au tuzikatae hizi DOLA BILIONI 1 tulizokuwa offered juzi na wa saud Arabia ?
 
Serikali haina pesa mpaka inakula rambirambi, binafsi ningekua na mamlaka ningepokea hizo pesa kwa kanuni ya -End justifies the means-

Hizo pesa zingetumika kufanikisha miradi ya serikali once USA iliendeshwa kwa pesa za dawa za kulevya.
 
Serikali haina pesa mpaka inakula rambirambi, binafsi ningekua na mamlaka ningepokea hizo pesa kwa kanuni ya -End justifies the means-

Hizo pesa zingetumika kufanikisha miradi ya serikali once USA iliendeshwa kwa pesa za dawa za kulevya.
kwa hiyo unasema we should compromise our relations with Qatar ?
 
000-84384401458813087544_0.jpg


Alikuja kipindi kile Saudi Arabia imevamia Yemen kwa mgongo wa kumrejesha rais aliyepinduliwa na wakati huohuo walikuwa wanasaidia Magaidi kuipindua serikali ya Syria.

Saudi Arabia wakawa na wakati mgumu sana Yemen na mwishowe wakaanza kuzihonga pesa nchi maskini za Afrika ziwaunge mkono kwenye vita yao huko Yemen. Baadhi ya nchi zilikubali na zingine zilikataa.

Huyu waziri wao wa mambo ya nje (pichani hapo juu) moja kayti ya nchi alizokwenda kuomba ni Tanzania.

Nyote mnajua sisi moja ya sera yetu kuu ya mambo ya nje ni KUTOFUNGAMANA NA UPANDE WOWOTE. Nimetazama list ya nchi zilizopeleka wanajeshi Yemeni kuungana na saudi Arabia Tanzania haimo na hivyo ni wazi ombi lao lilikataliwa na Rais wetu ambaye sera yake kubwa ni Maslahi ya Tanzania kwanza.

Sasa hivi kuna ugomvi mkubwa kati ya Saudi Arabia na Qatar na saudi Arabia inatumia nguvu ya pesa kuziambia nchi maskini kusitisha mahusiano na nchi ya Qatar.

Natumai kuwa mwanadolomasia nambari 1 wetu waziri Augostino Mahiga atamshauri Mheshimiwa Rais kuwa hatutofungamana na upande wowote kwenye ugomvi wao huko kwenye nchi za GCC na pia Tanzania itakuwa iko Tayari kutumia wataalam wake kuwapatanisha Saudi Arabia na Qatar kwani hiyo ndio sifa yetu. Na hawa wote wanakaribishwa Arusha kuja kupatanishwa.
hawa watu ni bora kukaa nao mbali kwa usalama wa nchi yako. wao logic na reason haitoshi..lazima warejee kwenye itikadi ya dini ambapo hua kuna mgongano mkubwa tu. ukijiingiza kichwakichwa utajikuta umegeuzwa target.
 
Senegal imekata uhusiano na Qatar asubuhi. Imefika mchana Saudi Arabia imedeposit 1 Billion dollars kwenye treasury ya Senegal

je na sisi tukipewa hiyo proposal tukatae au tukubali?
 
Wakati ndege zinaomdoka na minara ya dhahabu wala hatujui ni mingapi tubapigia magoti dola bilioni moja
 
Rais wa Somalia Farmajo jana kaahidiwa dola bilioni 4 za development na tayari kuna downpayment ya $1 billion itatumwa weekend hii.

Juzi senegal asubuhi wamekata uhusiano na Qatar asubuhi na mchana $1billion zimeingizwa kwenye treasury huko Dakar.

Evidence:

Sasa nashauri "OUR MAN IN RIYADH" (balozi wetu) akiitwa Al Yammamah Palace kupewa orders za kuleta kwa bosi wake Tanzania ikate uhusiano na Qatar bas na yeye arudishe diplomatic Cable kuwa hawa waarabu pesa ipo na wako desperate ya kutaka validity. Na kwa maoni yake na sisi turudishe na shopping list yetu.

Ambayo among other things tunataka na pesa. Mimi nasema kuwa Tu demand $5 billion. Kwa mtakaoona kuwa hiyo ni too much jiulizeni Kenya watademand kiasi gani from hiyo ATM? Ukishuka then potelea mbali walau tunaweza kuwa na $3 billion za bure

Msisahau mfalme wa Qatar alikuwa Kenya mwezi mmoja uliopita

I hope watu wetu watakuwa tough kwenye negotiations na hawa wa SUUUDIYA
 
wanayofanya Saudia yanabaraka zote za mmarekani. Hawa ni washirika wakubwa. Trump ziara ya juzi mashariki na kati kaanzia huko. pia wamemuuzia silaha nyingi ambazo pia wanawapatia magaidi kuangusha serikali wanazotaka zianguke. Hata hayo maamuzi waliyochukua dhidi ya Qatar ni shinikizo la bwana Trump, na juzi akajisifia kuwa ziara yake imeanza kutoa majibu. Waarabu ni kama midoli inayochezeshwa na Mmarekani.
 
Back
Top Bottom