Huyu waziri ndiye mbunge niliye mchagua, NAJUTAAAAAAA

Bujibuji Simba Nyamaume

JF-Expert Member
Feb 4, 2009
74,833
155,780
SIKILIZA JIBU LA NAIBU WAZIRI:
Fedha hizi anazoulizia mh. Mbunge zilitoka kwenye kasma maalum na zimetumika kwenye different deveopment projects ambazo monitaring yake imefanywa kwenye hiyo miradi isipokuwa CAG asingeweza kuifutilia kasma hii because zoezi lake la ukaguzi linakuja baadaye when the funds zinakuwa zimekuwa utilized!
 
SIKILIZA JIBU LA NAIBU WAZIRI:
Fedha hizi anazoulizia mh. Mbunge zilitoka kwenye kasma maalum na zimetumika kwenye different deveopment projects ambazo monitaring yake imefanywa kwenye hiyo miradi isipokuwa CAG asingeweza kuifutilia kasma hii because zoezi lake la ukaguzi linakuja baadaye when the funds zinakuwa zimekuwa utilized!

Bujibuji CAG kazi yake sio kushinda kwenye ofisi za miradi jukumu lake kubwa ni kukagua kama pesa za mradi zimetumika kwa mujibu wa madhumuni na sheria....ndio maana tunalilia wabunge wawe na elimu ili kuwa na kiwango sawa cha uelewa,kwa upande wako na wananchi wasioelewa hupata shida kuelewa inapotokea mbunge mlaghai kutumia kutojuwa kwenu anawaamasisha kuandamana na nyie bila kujua mnamwona shujaa.....pia nakushauri siku nyingine sababu wewe unaanzisha mada bila vielelezo sio vema mdogo wangu.
 
Back
Top Bottom