Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 74,833
- 155,780
SIKILIZA JIBU LA NAIBU WAZIRI:
Fedha hizi anazoulizia mh. Mbunge zilitoka kwenye kasma maalum na zimetumika kwenye different deveopment projects ambazo monitaring yake imefanywa kwenye hiyo miradi isipokuwa CAG asingeweza kuifutilia kasma hii because zoezi lake la ukaguzi linakuja baadaye when the funds zinakuwa zimekuwa utilized!
Fedha hizi anazoulizia mh. Mbunge zilitoka kwenye kasma maalum na zimetumika kwenye different deveopment projects ambazo monitaring yake imefanywa kwenye hiyo miradi isipokuwa CAG asingeweza kuifutilia kasma hii because zoezi lake la ukaguzi linakuja baadaye when the funds zinakuwa zimekuwa utilized!