Ha ha haaaa. Heshima yako Fay!Anaongea na Wakorea Kusini anaelezea habari za Wachina!
Khaa!
Jamani hana hata diplomasia kidogo?
vipi kuhusu boss wake.Anaongea na Wakorea Kusini anaelezea habari za Wachina!
Khaa!
Jamani hana hata diplomasia kidogo?
Huyo hajui Historia ya hizo nchi. Ndiyo tatizo la kutoshirikisha watu wa Kitengo ambao wamejaa tele wizara ya mambo ya nje!!Anaongea na Wakorea Kusini anaelezea habari za Wachina!
Khaa!
Jamani hana hata diplomasia kidogo?
Madam sio huyo tu hata mkarimani nae kama vile hakujipanga.Anaongea na Wakorea Kusini anaelezea habari za Wachina!
Khaa!
Jamani hana hata diplomasia kidogo?
Ndio Sampuli ya wanachama wa CCM,Sasa huyo ndio Cream huko Lumumba sijui ambao sio cream kama kina Magoiga na Asenga wataongea nini.Anaongea na Wakorea Kusini anaelezea habari za Wachina!
Khaa!
Jamani hana hata diplomasia kidogo?
Ndio Sampuli ya wanachama wa CCM,Sasa huyo ndio Cream huko Lumumba sijui ambao sio cream kama kina Magoiga na Asenga wataongea nini.
Kwa elimu yetu tegemea wanafundishwa ujinga tu.Jee wasomi wetu wanapokuwa vyuoni hufundishwa nini kuhusu mahusiano ya Kimataifa? Ukiachilia mbali mambo ya Kamwele, kwa mfano leo hii mtu aende kwa Museveni kupanga mipango ya kumwekea Kagame vikwazo! Mfumo wetu wa kujifunza unatakiwa kufanyiwa marekebisho makubwa sana!!