Akili Kichwani
JF-Expert Member
- Jan 7, 2010
- 1,508
- 216
wadau......
hapo kwenye hiyo link kuna habari inayomhusu waziri mpta terezya hovisa akisimulia maisha yake chuoni............. eti ali[okuwa cho kikuu alipewa mimba na "fataki" na kisha huyo "fataki" alimsomesha hadi leo ni dr............ hajasema kama huyo "fataki" ndiye aliyemuoa........... fuatilia mwenyewe uone zaidi.............
Waziri atoa ushuhuda alivyorubuniwa na fatak
sasa naona maana ya fataki imechukua mkondo mwingine............. natarajia mwanafunzi wa cho kikuu ni mtu mzima na kila anachofanya anakielewa vizuri na madhara yake............ sioni haja ya kutumia fataki hapo ............ pia anasema baada ya kumpa mimba aliendelea kumsomesha hadi leo amefikia u-dr na sasa uwaziri......... sasa nauliza....
1. hivi huyu fataki ni mbaya kweli?...........
2. hapo anawaonya au anawahamasisha kujitafutia mafataki wazuri watakaowasaidia kufikia malengo yao ya elimu?............
3. mwanafunzi wa chuo kikuu amabaye anatarajiwa kuwa mwerevu kuhusu mapenzi na hata masuala ya uzazi wa mpango, anapojiingiza kwenye mapenzi na hata baadaye kupata mimba naye asingizie fataki?..............
naona mawaziri kama hawa hawajaanza kazi bado............ bado wamelewa na uteuzi................
hapo kwenye hiyo link kuna habari inayomhusu waziri mpta terezya hovisa akisimulia maisha yake chuoni............. eti ali[okuwa cho kikuu alipewa mimba na "fataki" na kisha huyo "fataki" alimsomesha hadi leo ni dr............ hajasema kama huyo "fataki" ndiye aliyemuoa........... fuatilia mwenyewe uone zaidi.............
Waziri atoa ushuhuda alivyorubuniwa na fatak
sasa naona maana ya fataki imechukua mkondo mwingine............. natarajia mwanafunzi wa cho kikuu ni mtu mzima na kila anachofanya anakielewa vizuri na madhara yake............ sioni haja ya kutumia fataki hapo ............ pia anasema baada ya kumpa mimba aliendelea kumsomesha hadi leo amefikia u-dr na sasa uwaziri......... sasa nauliza....
1. hivi huyu fataki ni mbaya kweli?...........
2. hapo anawaonya au anawahamasisha kujitafutia mafataki wazuri watakaowasaidia kufikia malengo yao ya elimu?............
3. mwanafunzi wa chuo kikuu amabaye anatarajiwa kuwa mwerevu kuhusu mapenzi na hata masuala ya uzazi wa mpango, anapojiingiza kwenye mapenzi na hata baadaye kupata mimba naye asingizie fataki?..............
naona mawaziri kama hawa hawajaanza kazi bado............ bado wamelewa na uteuzi................