huyu waziri anawaonya vijana au anawahamasisha kujirusha na mafataki?

Hawa ndio leaders wetu, alitoa tunda ili asomeshe. Kwahiyo hakurubuniwa ilikuwa ni makubaliano. Kweli tutafika na mawaziri design hiii

This woman talks nonsense..... this is not the way ya kuwaasa watu.
 
angalia hapo penye colou na bold............. kwa anayejua maana ya kushawishi hawezi kuletaswali zaidi........... anyway, kwa kukusaidia.... sasa anaweza lakini haoni sababu kwa kuwa ni waziri........... alivokuwa chuoi aliweza na aliona sababu na "alichakachua" akafanikiwa kusoma............ ndiyo lugha iliyo nyuma ya maneno hayo na utaipata "ukitafsir"i, sio"ukisoma".............

Hiyo tafsiri yako mkuu ya kulazimishia. Tunakubali kuwa kwa mwanafunzi wa chuo kikuu huyo alokuwa nae hahesabiki kuwa ni 'fataki'. Alitaka mwenyewe 'kwa kiherehere chake' lakini hakuwa akiwaambia waendelee.

She isn't that stupid.
 
Hawa ndio leaders wetu, alitoa tunda ili asomeshe. Kwahiyo hakurubuniwa ilikuwa ni makubaliano. Kweli tutafika na mawaziri design hiii

This woman talks nonsense..... this is not the way ya kuwaasa watu.

umeona eeh.... hopeless kabisa... anawapotosha tu, hakuna nasaha za maana hapo..........
 
Hiyo tafsiri yako mkuu ya kulazimishia. Tunakubali kuwa kwa mwanafunzi wa chuo kikuu huyo alokuwa nae hahesabiki kuwa ni 'fataki'. Alitaka mwenyewe 'kwa kiherehere chake' lakini hakuwa akiwaambia waendelee.

She isn't that stupid.

sio tafsiri yangu, bali ni itokanayo na maneno yake.............. soma na utafakati please.............. sio usome tu kisha uanze kubonyeza keyboard............
 
Sisemi maana huyo fataki angekuwa na uwezo wa kusema sidhani kama angeyabwabwaja hapa. Kumwita mtu fataki ina maana huyo fataki alikuwa baba wa familia na alikuwa na mke.
Let us imagine kama mkewe fataki na watoto wapo na wameyasikia. How do you think they feel right now?? Tuwe tunachagua maneno ya kusema
 
ushuhuda mzuri coz unatoa picha halisi ya maisha yetu ,na yeye kama mtanzania mwanamke alipitia yanayofanywa na wengi vyuoni, sasa tatizo lake nini hapo hebu someni kwa makini mmpate ujumbe mi naona ni ushauri mzuri tu, au kwa sababu ni waziri, angeutoa mtu wa kawaida kwa lengo lilelile la kuisa jamii ungechukuliwa hivyo mlivyouchukulia, acheni hayo mambo wandugu
Hapo kwenye Bold, Tatizo lake Tafsiri ya FATAKI! A University student is a mature person, yeye aseme alikuwa na tamaa ya kwenda viwanja akapigwa mimba aache longolongo, na inaezekana hata sasa yuko mkao huohuo
 
Huyo ndio sehemu ya mawaziri tuliambiwa ni waadilifu na wachapa kazi! the beat goes on!
 
Tunasubiri na huyo Fataki alonge kama ameinasa hii. Yaani mtu speech ya kwanza unaboronga?? Kaaz kwel kwel
 
Hapo kwenye Bold, Tatizo lake Tafsiri ya FATAKI! A University student is a mature person, yeye aseme alikuwa na tamaa ya kwenda viwanja akapigwa mimba aache longolongo, na inaezekana hata sasa yuko mkao huohuo

great thinker kwelikweli....................................
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom