kibaravumba
JF-Expert Member
- Dec 21, 2012
- 6,635
- 7,005
Kwa kauli zake nadhani anamtafutia janga Rais na Watanzania wote kwa ujumla.
Kama kauli hiyo haijatokana na msimamo wa pamoja wa Serikali, ambao nilitarajia utoke baada ya Kikao cha Baraza la Mawaziri, basi inahitaji kuchunguzwa kama kweli ina lengo zuri.
Tunahitani waziri anayeweza kumpunguzia Rais pressure kwa kujikita katika kauli za kidiplomasia.
Kuonesha wazi wazi tena kwa njia ya matusi kuwa hukufurahishwa na maoni ya Wabunge wa Bunge la EU, ni udhaifu.
Hata hivyo nina wasi wasi huenda hii ikawa hujuma iliyofanywa kisomi sana.
Kama kauli hiyo haijatokana na msimamo wa pamoja wa Serikali, ambao nilitarajia utoke baada ya Kikao cha Baraza la Mawaziri, basi inahitaji kuchunguzwa kama kweli ina lengo zuri.
Tunahitani waziri anayeweza kumpunguzia Rais pressure kwa kujikita katika kauli za kidiplomasia.
Kuonesha wazi wazi tena kwa njia ya matusi kuwa hukufurahishwa na maoni ya Wabunge wa Bunge la EU, ni udhaifu.
Hata hivyo nina wasi wasi huenda hii ikawa hujuma iliyofanywa kisomi sana.