Huyu wa kulia ni na ni...??

donlucchese

JF-Expert Member
Mar 23, 2011
17,040
21,513
eti jamani
 

Attachments

  • 1433517101319.jpg
    1433517101319.jpg
    32.7 KB · Views: 2,079
Marehemu Tumtemeke Sanga,alipotoka ughaibuni Mwl Nyerere alimuuliza ampe kazi gani,yeye akamweleza mwl kazi inayomfaa ni urais,kwanza yeye akidai ana uelewa mkubwa kuliko mwl,napia elimu yake ni kubwa kuliko mtanzania yeyeto kwa wakati huo,mwl alimuweka kizuizi cha kutotoka wilaya ya Makete kwa miongo kadhaa
 
Huyo bwana anaitwa Peter Onu na sio Tuntemeke Sanga kama mnavyotaja...

Peter Onu ni katibu mkuu wa zamani wa OAU (AU) mwaka 1983 - 85.

Na hiyo picha ilipigwa makao makuu ya OAU jijini Addis Ababa katika moja ya vikao vya wakuu wa nchi wa OAU.

Tuntemeke sanga

Marehemu Tumtemeke Sanga,alipotoka ughaibuni Mwl Nyerere alimuuliza ampe kazi gani,yeye akamweleza mwl kazi inayomfaa ni urais,kwanza yeye akidai ana uelewa mkubwa kuliko mwl,napia elimu yake ni kubwa kuliko mtanzania yeyeto kwa wakati huo,mwl alimuweka kizuizi cha kutotoka wilaya ya Makete kwa miongo kadhaa
 
Marehemu Tumtemeke Sanga,alipotoka ughaibuni Mwl Nyerere alimuuliza ampe kazi gani,yeye akamweleza mwl kazi inayomfaa ni urais,kwanza yeye akidai ana uelewa mkubwa kuliko mwl,napia elimu yake ni kubwa kuliko mtanzania yeyeto kwa wakati huo,mwl alimuweka kizuizi cha kutotoka wilaya ya Makete kwa miongo kadhaa

mwalimu alikua mbabe
 
Huyo bwana anaitwa Peter Onu na sio Tuntemeke Sanga kama mnavyotaja...

Peter Onu ni katibu mkuu wa zamani wa OAU (AU) mwaka 1983 - 85.

Na hiyo picha ilipigwa makao makuu ya OAU jijini Addis Ababa katika moja ya vikao vya wakuu wa nchi wa OAU.

Ahsante, Ilibaki kidogo niwaite Joka kuu na Kichuguu waje watoe ufafanuzi.
 
Back
Top Bottom