Maana nimecheck video ya wimbo wake mpya mle sidhani kama ndo sura yake kama sio makeup maana sio kujiweka vile, maana toka mwanzo najua the weekend ni mwimbaji flani hivi wa hip-hop music, inanijia sura ya jamaa kama 50 cent, kwani kawaje huyo jamaa nauliza.
Kuna mambo mengine mnatafuta kwenda motoni bure yaani hata dhambi ya kuweka picha ikupeleke motoni kweli? Wakati hua mnakumbushwa kila siku, mambo mengine mnajitakia wenyewe
Kuna mambo mengine mnatafuta kwenda motoni bure yaani hata dhambi ya kuweka picha ikupeleke motoni kweli? Wakati hua mnakumbushwa kila siku, mambo mengine mnajitakia wenyewe
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.