Elections 2015 Huyu siyo Edward Lowassa ninayemfahamu kabla ya kujiuzulu 2008!

mtoa mada imekula.kwako.kwa taarifa yako tutamchagua hivyo hivyo.magamba mtakiona matako yatawafukuta sana mwaka huu
 
Nimejaribu kujiuliza sana na ninashindwa kupata jibu!

Lowassa ninayemuona na kumsikiliza kwa sasa sio yule ambaye alikuwa akiongea anakuvuta katika hisia kumsikiliza.

Lowassa wa zamani alikuwa anaweza kutembea kwa miguu kwa muda mrefu bila kuchoka katika Jiji la Dar-es-salaam kukagua usafi wa mazingira.

Lowassa wa sasa anatafuta kwa shida hata maneno ya kuongea na akiongea hawezi kupangilia maneno yake achilia mbali sauti iliyofifia.

Lowassa wa sasa hawezi hata kutembea vizuri achilia mbali kusimama kwa muda mrefu.

Lowassa wa sasa hawezi hata kubeba chupa ya maji ya kunywa kwa muda mrefu bila kuhitaji msaada.

Lowassa wa zamani ameenda wapi?

Nini kimemtokea Lowassa wa sasa?

Ninamtafuta Lowassa wa kuanzia mwaka wa 2008 kurudi nyuma!


Huyu ndiye Lowassa niliyekuwa ninamfahamu ambaye alikuwa ni mahili katika art of communicating!

Hata wewe sio yule niliyekujua hapo mwanzo. Ulikua unatambaa, unajikojolea, na ulikua pia unakamasi kibao na hata kujinyea. Leo umebadilika sana aisee
 
Last edited by a moderator:
Hahahaha unaonaje kama tungemsimamisha Kibajaji kuwa mgombea wa chama chetu maana ni mtaalamu sana wa kuzungumza huyo kuliko kumuacha akaenda kufukuzana na ubunge.
 
Watu wakiamua hata kama huongei unachaguliwa. Kule wilaya ya Magu mwaka 2005 Mgombea udiwani alifanyiziwa akawa bubu lakini bado akashinda udiwani kwa kishindo.
Acha watu waamue, kama watafikishwa kwenye nchi ya maziwa na asali au kinyume chake, ni suala la muda tu!
 
Mlivyokuwa mnamnyanyasa ccm na kumfanyia kila aina ya hila ulitarajia abaki vilevile?

Kumbuka amenyamaza muda mrefu bila kujibu shutuma na wakina nape na mukama wakati wakizunguka nchi nzima kumtukana.lazima pia ukumbuke umri umeenda na kama ni kujenga hoja atajenga tu ukishampa kura yako.its the matter of time

Safi sana kwa kuwajibu kwa ustaarabu.
 
Lowasa kwa sasa ameimarika zaidi kuliko alivyokuwa CCM, hakika naamini ataimarika zaidi na kuwa fit ifikapo 27/10
 
Nimejaribu kujiuliza sana na ninashindwa kupata jibu!

Lowassa ninayemuona na kumsikiliza kwa sasa sio yule ambaye alikuwa akiongea anakuvuta katika hisia kumsikiliza.

Lowassa wa zamani alikuwa anaweza kutembea kwa miguu kwa muda mrefu bila kuchoka katika Jiji la Dar-es-salaam kukagua usafi wa mazingira.

Lowassa wa sasa anatafuta kwa shida hata maneno ya kuongea na akiongea hawezi kupangilia maneno yake achilia mbali sauti iliyofifia.

Lowassa wa sasa hawezi hata kutembea vizuri achilia mbali kusimama kwa muda mrefu.

Lowassa wa sasa hawezi hata kubeba chupa ya maji ya kunywa kwa muda mrefu bila kuhitaji msaada.

Lowassa wa zamani ameenda wapi?

Nini kimemtokea Lowassa wa sasa?

Ninamtafuta Lowassa wa kuanzia mwaka wa 2008 kurudi nyuma!


Huyu ndiye Lowassa niliyekuwa ninamfahamu ambaye alikuwa ni mahili katika art of communicating!


Vipi mkuu? Mbona mgombea wenu Dr.Magufuli mmemsahau jamani? Nani atamfanyia publicity, maana kila ck mnatusaidia kumpa publicity mgombea wetu wa UKAWA. Sasa imekuwa kila anakopita ni Tsunami tu. Kulikoni? Msimsahau hivyo mgombea wenu, amebaki mkiwa
 
Last edited by a moderator:
Masaburi ya mchina...!!! Mtauziwa hadi nyama za punda..mkomeeee...CCM imetumaliza jamani hadi wachina wanatuuzia nyama za punda..!! Na kiwanda kipo nchini mwetu...!? Yaani hawa wangefungwa maisha...!!!
 
Nimejaribu kujiuliza sana na ninashindwa kupata jibu!

Lowassa ninayemuona na kumsikiliza kwa sasa sio yule ambaye alikuwa akiongea anakuvuta katika hisia kumsikiliza.

Lowassa wa zamani alikuwa anaweza kutembea kwa miguu kwa muda mrefu bila kuchoka katika Jiji la Dar-es-salaam kukagua usafi wa mazingira.

Lowassa wa sasa anatafuta kwa shida hata maneno ya kuongea na akiongea hawezi kupangilia maneno yake achilia mbali sauti iliyofifia.

Lowassa wa sasa hawezi hata kutembea vizuri achilia mbali kusimama kwa muda mrefu.

Lowassa wa sasa hawezi hata kubeba chupa ya maji ya kunywa kwa muda mrefu bila kuhitaji msaada.

Lowassa wa zamani ameenda wapi?

Nini kimemtokea Lowassa wa sasa?

Ninamtafuta Lowassa wa kuanzia mwaka wa 2008 kurudi nyuma!


Huyu ndiye Lowassa niliyekuwa ninamfahamu ambaye alikuwa ni mahili katika art of communicating!


Ile pilipili mliotwanga pale DODOMA ilikuwa kali sana ee! Imewapalia ,naona mnakohoa ovyo.
Mpaka mkohoe damu mwaka huu.

Hatuangalii rangi ya Paka, tunachoangalia uwezo wake wa kukamata Panya.

Tafuteni mashimo ya kujificha,kama ni hapa Tanzania au Uhamishoni.
 
Last edited by a moderator:
Vipi mkuu? Mbona mgombea wenu Dr.Magufuli mmemsahau jamani? Nani atamfanyia publicity, maana kila ck mnatusaidia kumpa publicity mgombea wetu wa UKAWA. Sasa imekuwa kila anakopita ni Tsunami tu. Kulikoni? Msimsahau hivyo mgombea wenu, amebaki mkiwa

Ile pilipili ilikuwa kali sana.
Wao walidhani pilipili hoho.
Waache wamsahau mtu wao.
 
Back
Top Bottom