Nimejaribu kujiuliza sana na ninashindwa kupata jibu!
Lowassa ninayemuona na kumsikiliza kwa sasa sio yule ambaye alikuwa akiongea anakuvuta katika hisia kumsikiliza.
Lowassa wa zamani alikuwa anaweza kutembea kwa miguu kwa muda mrefu bila kuchoka katika Jiji la Dar-es-salaam kukagua usafi wa mazingira.
Lowassa wa sasa anatafuta kwa shida hata maneno ya kuongea na akiongea hawezi kupangilia maneno yake achilia mbali sauti iliyofifia.
Lowassa wa sasa hawezi hata kutembea vizuri achilia mbali kusimama kwa muda mrefu.
Lowassa wa sasa hawezi hata kubeba chupa ya maji ya kunywa kwa muda mrefu bila kuhitaji msaada.
Lowassa wa zamani ameenda wapi?
Nini kimemtokea Lowassa wa sasa?
Ninamtafuta Lowassa wa kuanzia mwaka wa 2008 kurudi nyuma!
Huyu ndiye Lowassa niliyekuwa ninamfahamu ambaye alikuwa ni mahili katika art of communicating!
Hivi unaamini kabisa ccm inaweza kukubali itolewe madarakani tena na lowass! Nyie mshukuru mtaongeza idadi ya wabunge tu,muulizeni mrema au huyo maalim seif
Mlivyokuwa mnamnyanyasa ccm na kumfanyia kila aina ya hila ulitarajia abaki vilevile?
Kumbuka amenyamaza muda mrefu bila kujibu shutuma na wakina nape na mukama wakati wakizunguka nchi nzima kumtukana.lazima pia ukumbuke umri umeenda na kama ni kujenga hoja atajenga tu ukishampa kura yako.its the matter of time
Nimejaribu kujiuliza sana na ninashindwa kupata jibu!
Lowassa ninayemuona na kumsikiliza kwa sasa sio yule ambaye alikuwa akiongea anakuvuta katika hisia kumsikiliza.
Lowassa wa zamani alikuwa anaweza kutembea kwa miguu kwa muda mrefu bila kuchoka katika Jiji la Dar-es-salaam kukagua usafi wa mazingira.
Lowassa wa sasa anatafuta kwa shida hata maneno ya kuongea na akiongea hawezi kupangilia maneno yake achilia mbali sauti iliyofifia.
Lowassa wa sasa hawezi hata kutembea vizuri achilia mbali kusimama kwa muda mrefu.
Lowassa wa sasa hawezi hata kubeba chupa ya maji ya kunywa kwa muda mrefu bila kuhitaji msaada.
Lowassa wa zamani ameenda wapi?
Nini kimemtokea Lowassa wa sasa?
Ninamtafuta Lowassa wa kuanzia mwaka wa 2008 kurudi nyuma!
Huyu ndiye Lowassa niliyekuwa ninamfahamu ambaye alikuwa ni mahili katika art of communicating!
Nimejaribu kujiuliza sana na ninashindwa kupata jibu!
Lowassa ninayemuona na kumsikiliza kwa sasa sio yule ambaye alikuwa akiongea anakuvuta katika hisia kumsikiliza.
Lowassa wa zamani alikuwa anaweza kutembea kwa miguu kwa muda mrefu bila kuchoka katika Jiji la Dar-es-salaam kukagua usafi wa mazingira.
Lowassa wa sasa anatafuta kwa shida hata maneno ya kuongea na akiongea hawezi kupangilia maneno yake achilia mbali sauti iliyofifia.
Lowassa wa sasa hawezi hata kutembea vizuri achilia mbali kusimama kwa muda mrefu.
Lowassa wa sasa hawezi hata kubeba chupa ya maji ya kunywa kwa muda mrefu bila kuhitaji msaada.
Lowassa wa zamani ameenda wapi?
Nini kimemtokea Lowassa wa sasa?
Ninamtafuta Lowassa wa kuanzia mwaka wa 2008 kurudi nyuma!
Huyu ndiye Lowassa niliyekuwa ninamfahamu ambaye alikuwa ni mahili katika art of communicating!
Vipi mkuu? Mbona mgombea wenu Dr.Magufuli mmemsahau jamani? Nani atamfanyia publicity, maana kila ck mnatusaidia kumpa publicity mgombea wetu wa UKAWA. Sasa imekuwa kila anakopita ni Tsunami tu. Kulikoni? Msimsahau hivyo mgombea wenu, amebaki mkiwa