Nahonyo
JF-Expert Member
- Dec 28, 2012
- 5,374
- 5,015
Ni kweli, maana mijitu kama hii haitaweza kumuongoza mtu, na hata kufanya kazi haiwawezi, labda kazi ya kuchapa nyaraka, kwa computer tu, inaendana vidole vyao.View attachment Mashoga_jijini_Mombasa_wagoma_kuachana_na_tabia_hiyo,_wakiuka_agizo_la_waziri.mp4Ulaya ijiandae kutawaliwa Na Waafrika ,waasia Na wa America kusini kwa kuwa ulaya miaka ijayo hawatakuwa na uzazi wakifa waliopo basi sababu hao waliopo kazi ni kusagana ,kushogana Na kuoana ndoa za jinsia moja zisizozalisha watoto