nzagambadume
JF-Expert Member
- Apr 9, 2018
- 2,430
- 5,769
Wadau wa mtandaoni wanadai huyu jamaa ni mbongo ila hakuna hata ushahdi wa jina ,kuna anayemjua huyu bibi harusi mwenye ndevu.
-------
Huyu jamaa anaitwa Kashinde, amemaliza kidato Cha 4 1993 Kigurunyembe Sekondari.
Kwao hasa ni Mikese, wanapoishi familia yake akisemo Kaka yake wa Mama mkubwa anaitwa Mgaya Mwaruka.
Jamaa yake (mume) wake anaitwa Harvee,Walikutana Morogoro wakati huo Harvee akiwa Ni Mkurugenzi na Muanzilishi wa Shirika liitwalo MTANDAO WA VIKUNDI VYA WAKULIMA TANZANIA ( MVIWAYA).
Kwa Nyakati Fulani walikuwa wakiishi Maeneo ya Mikocheni ilipokuwa Club maarufu kwa jina la BLUE PAM'S.
Mahaba yalipowazidia na Mume alipomaliza Mkataba aliamua kwenda nae France.
Kashinde ama "KASH", anavyojulikana na wengi, amejenga Boko,Dar es salaam ambako Mama yake anaishi baada ya kitengana na Mumewe kisa ni kijana wao kuwa Shoga.