Baba Joseph17
JF-Expert Member
- Jul 15, 2013
- 9,518
- 9,721
Mazoea ya kazi ni mabaya sana haswa unapokuwa ofisi ambayo iko bize maana unaamini doc ikiletwa mezani na wasaidizi wako inakuwa clean, nimeshashuhudia mambo ya kuchomekeana doc makazini, hafu ujue kuna mlolongo wa usumbufu kwenye transfer haswa Magari, hiyo imepelekea vijana ambao wanajulikana huko TRA kushirikiana na watumishi na kufanya mambo shortcuts. Mifumo ya serikali inasababisha ishu kama hizo zitokeeBabaaaaa swalii languu kuuuu kwa Dada rose
Hivi anawezakwenda MTU akapeleka docs amenunua GARI kwamtu BILA.kuwasiliana nae ama.KUMWONA
Pili tra imejiandaae kuhakikisha WANANCHI wakosalama na MAGARI YAO kama MTU anaweza peleka docs za tra fake na WALA accept
Tunakazi kubwaa sana mbelee
Wachaa hilijamboo liwashe moto tupate somo