Kuvuma kwa skendo na dili chafuchafu nazo/nayo ni sifa!!???Mtoto wa Rais wa awamu ya nne na mbunge wa Chalinze, mheshimiwa Ridhiwani Kikwete alijipatia umaarufu mkubwa sana mwishoni mwa utawala wa baba yake lakini inashangaza kuona kwa sasa havumi tena.
Sijui nini kimemsibu huyu mwanasiasa wetu!
Nipe na chek sheriff i n town hapa ....... i would like glass of water????? Hahahhhahahahahaha make it doubleRANGO
7 men one bulletUmenikumbusha haka kajamaa!
Kalikuwa na mkwara sana! Teh!
Rango bhana!