Ni suala la tofauti za mila na desturi (culture) kati ya waswahili na wazambia. Hapa uswahilini bongo tumerithishwa desturi potofu za kiarabu, kwenda chooni na kopo la maji na kuchambia mkono wa kushoto na hivyo kuupa hadhi ya chini usiofaa hata kugusa chakula. Eti mtu unafundishwa kudharau sehemu ya mwili wako mwenyewe je utampenda kweli jirani yako kama nafsi yako? wakati hata sehemu ya nafisi yako huipendi?
Hizi desturi ndo chimbuko la kuhalalisha na kuwafundisha watoto wetu chuki na fitna.
Matokeo ya mafundisho namna hii ni dharau kwa wengine mfano dharau kwa wanawake, waumini wa imani zingine nk nk
Tusimpime huyo mheshiwa kwa kutumia desturi zetu za kiswahili. Hakuna tofauti ya mkono wa kushoto na kulia vyote ni viungo vyako ulivyopewa na Muumba wako ili vikusaidie kuishi duniani kwa raha na amani
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.