VUTA-NKUVUTE
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 6,135
- 17,802
Shemeji yangu(mke wa kaka) amejifungua mtoto wa kike leo saa tano asubuhi. Kwa mujibu wa matangazo na taarifa zihusuzo sensa,watakaohesabiwa ni wale waliolala tar. 25 kuamkia 26. Je,huyu mtoto na wa aina ya yake watasenswa?