Kingsharon92
JF-Expert Member
- Aug 10, 2015
- 7,552
- 9,528
Aisee hebu nipeni gharama kutoka tz mpaka america ya kusini ni shilingi ngapi? Nikatafute mafuta ya ngekewa na ngozi yake nije nipige pesa zangu hapa tz naona wateja wengi sana kila mtu anataka awe na bahati ya ngekewa