General Galadudu
JF-Expert Member
- Nov 7, 2015
- 1,837
- 2,119
Yuko Mwanza siku nyingi sana alikuja kupambania uenyekiti wa CCM mkoa, akakutana na mbabe Anthony Mwandu Dialo amesimika mizizi yake akaangukia pua kwa hiyo yupo yupo tu
Alitoka Mbeya au Kilimanjaro? Anafuga samaki huko Mwanza.Tangu astaafu ukuu wa mkoa wa Mbeya sijawahi msikia tena Mzee Said Meck Sadick
Hapa Mwanza namwona Mzee kafanana sana na Meck Sadick anaendesha gari aina ya Benz la dark blue
Naomba kujuzwa kama ni yeye au nimemfananisha.
Sent from my TECNO F3 using JamiiForums mobile app
ila huyu jamaa bwana sasa umuone wewe afu uje kutuuliza sisi? wana CCM mnakwama wapi
Ndo yeye huyo huko ndiyo kwao. Ni mfugaji bora wa samakiTangu astaafu ukuu wa mkoa wa Mbeya sijawahi msikia tena Mzee Said Meck Sadick
Hapa Mwanza namwona Mzee kafanana sana na Meck Sadick anaendesha gari aina ya Benz la dark blue
Naomba kujuzwa kama ni yeye au nimemfananisha?
Sent from my TECNO F3 using JamiiForums mobile app
Anafuga samaki kwenye mabwawa ama sehemu gani Mkuu?Ndo yeye huyo huko ndiyo kwao. Ni mfugaji bora wa samaki
Ni yeye huyo mwingi sana maeneo ya Mwz hotel ila kuwa mkuu wa mkoa wa Mbeya sina uhakikaTangu astaafu ukuu wa mkoa wa Mbeya sijawahi msikia tena Mzee Said Meck Sadick
Hapa Mwanza namwona Mzee kafanana sana na Meck Sadick anaendesha gari aina ya Benz la dark blue
Naomba kujuzwa kama ni yeye au nimemfananisha?
Sent from my TECNO F3 using JamiiForums mobile app
Anafugia kwenye kibeseni cha kunawia mikono lunch timeAnafuga samaki kwenye mabwawa ama sehemu gani Mkuu?
kungekua kuna sehemu ya kudelete ningefuta huu utumbo wako aise unajibu wakati sijakuuliza wewe.Anafugia kwenye kibeseni cha kunawia mikono lunch time
Hakusitishiwa mkuu... aliacha mwenyewe kwa kudai kuwa umri wake umeenda hawez endana na kasi ya JPM, amestaafu kwa hiari akiwa RC KILHivi baada ya kutoka u Rc wa Dar alienda Mbeya! Na huko aliko Anna Mgwira si ndiko alikositishiwa ukuu wa mkoa?
Unashangaa mtu kumuona nyumbani kwao?
Na kajibu utumbo wakati umeuliza swali zuri tu.kungekua kuna sehemu ya kudelete ningefuta huu utumbo wako aise unajibu wakati sijakuuliza wewe.
Ndo yeye uyo Mzee Meck Sadick, hana makuu Mzee wa watu!Tangu astaafu ukuu wa mkoa wa Mbeya sijawahi msikia tena Mzee Said Meck Sadick
Hapa Mwanza namwona Mzee kafanana sana na Meck Sadick anaendesha gari aina ya Benz la dark blue
Naomba kujuzwa kama ni yeye au nimemfananisha?
Sent from my TECNO F3 using JamiiForums mobile app
Halafu hili jina mwandu kule kwetu kusini manake ****Yuko Mwanza siku nyingi sana alikuja kupambania uenyekiti wa CCM mkoa, akakutana na mbabe Anthony Mwandu Dialo amesimika mizizi yake akaangukia pua kwa hiyo yupo yupo tu
Halafu hili jina mwandu kule kwetu kusini manake ****