Huyu ni Ustaadhi Lowassa!!

Kigarama

JF-Expert Member
Apr 23, 2007
2,492
1,230
attachment.php


Huyu ni ustaadhi Edward Lowassa!!
 

Attachments

  • lowassa-important.JPG
    lowassa-important.JPG
    12.3 KB · Views: 3,228
View attachment 39120

Huyu ni ustaadhi Edward Lowassa!!

Da!! Huyu jamaa anautafuta uraisi kwa nguvu kwelikweli,naona hapo anataka kupata sapoti ya Bakwata,na kwasababu ya akili mbovu za Bakwata usije ukasikia wanakwambia Lowasa sio fisadi,na watu wasikipigie kura chama kinachosema Lowasa ni fisadi..nasema hivi maana Bakwata wanapenda sana kutoa matamko kwenye hoja nyepesi nyepesi na majitaka.....
 
hapa hatutoi tamko, labda ingekuwa mwanamke kavaa hivyo hapo Bar-kwataa ingeaandamana kushinikiza ndoa ivunjwe na mke apigwe mawe hadi afe!!
 
Watu wakisema huyu bwana ni msanii watu wengine utasikia wakisema eti OH MNAMUONEA.

kwa taarifa tu ni kwamba LOWASA AMESOMA FINE AND PERFOMIN ARTS(FPA)-HII NI KOZI INAYOTOLEWA NA IDARA YA FPA PALE UDSM-CHINI YA COLLEGE OF ARTS AND SOCIAL SCIENCE(CASS),ZAMAN FACULTY OF ARTS AND SOCIAL SCIENCE(FASS).......so huu usanii wa lowassa msiushangae wadau,,,,mkewe ndo alisomema mambo ya sayansi huko,,,,japo alimzidi miaka(ya kimasomo) lakin lowasa alimpa somo akabeba mzigo
 
Kuna mtu aliyejifanya muislamu huko igunga inasemekana alivaa hijabu akavuliwa! waislamu wakatoa Tamko Kali, Hv Majuzi imebainika kuna mwislamu aliuawa huko igunga kwa sababu za kisiasa na mpaka sasa waislam wote wako kimya.
 
6 Reactions
Reply
Back
Top Bottom