sidhani kama itakusaidia kuwadhalilisha. These are photoshop manipulation for ill purposes.Habari za asubuhi ndugu zangu wana jf, naomba mnisaidie huyu ni padri au shekhe?
View attachment 1081539
Akiwa kanisani ni padri na akiwa msikitini ni shekhe/ustadhHabari za asubuhi ndugu zangu wana jf, naomba mnisaidie huyu ni padri au shekhe?View attachment 1081539
Sasa swali gani hili wakati kuna sista pembeni yake. Je, sio maigizo hayo?Habari za asubuhi ndugu zangu wana jf, naomba mnisaidie huyu ni padri au shekhe?
View attachment 1081539
Ukute sio nyimbo wanayocheza
Huyo ni shekhe
Najua sio shekh...hata mleta mada anajua sio sheikh ila ni vile kaja kutuchosha tu na maswali yenye majibu yako wazisio Sheikh
Mbona sioni tatizo hata kidogo? Obsession au tafsiri mbaya ya mambo inatufanya tuone kila kitu kama kibaya hata kama hakuna sababu ya kufanya hivyo. Kucheza muziki siyo dhambi kwa padri au sheikh. Dhambi ni kutenda jambo baya linalowathiri wengine.Habari za asubuhi ndugu zangu wana jf, naomba mnisaidie huyu ni padri au shekhe?
View attachment 1081539
Ahsante mkuu bora wewe umeweza kunifungua kuliko wachangiaji wanaotanguliza lawama,Hapo wimbo pengine ni kwaya, na walimwengu wameweka hilo sebene.
Staili ya kucheza ni Kwaito.
Sijasema kuna ubaya au kuna dhambi jamani jaribuni kuelewa swali, hapo sija hukumu wala sijalaumu.Mbona sioni tatizo hata kidogo? Obsession au tafsiri mbaya ya mambo inatufanya tuone kila kitu kama kibaya hata kama hakuna sababu ya kufanya hivyo. Kucheza muziki siyo dhambi kwa padri au sheikh. Dhambi ni kutenda jambo baya linalowathiri wengine.