huyu ni nani??

Saint Ivuga

JF-Expert Member
Aug 21, 2008
54,363
58,386
22.jpg
 
Ni mtoto wa mzee mmoja anaeamini katika ushirikina sana nchini. Baba ya huyu binti ni mwenyeji wa Tanga.... Baba wa mtoto huyu amewaandikia makatibu wa chama fulani kuwahimiza madiwani na wabunge walioshindwa katika viti vya ubunge na udiwani kufungua kesi mahakani,,,, Baba wa mtoto huyu ana mtoto ambae ajishinda Ubunge jimbo fulani nchini... Baba wa mtoto huyu aliwahi kuwa mkuu wa mkoa na kukomalia suala la tabia mbovu za ukahaba...... Nadhani umemjua sasa.
 
Huyu binti ndiyo hawa kwetu husu Shamba tunawaita "WAKUCHORWA".
 
si mwengine ni Slaa

nimepata ?

Angalia!
Usije mtukana Mjomba wako Makamba kwamba alisaidiwa?
Hata cheti chake tu hapo kimeandikwa Mwamvita Makamba wewe unamwingiza Dr Slaa hapo?
Blaza,Dr Slaa alisha wahi kuwa Mkuu wa Mkoa??

Hiii! Hiiii! Somo la Historia hata F hukupa wewe ulipata Z.
 
Wacheni kumnyanyasa binti wa watu kwa kuwa tu baba yake hamumpendi.

Binti ni mchapa kazi mzuri na mwenye bidii, na huyo mzungu aliyepo hapo ndiyo mumewe kwa mujibu wa blog ya michuzi.

Heko Mwamvita tunakupa hongera na endelea na kazi yako nzuri, achana na hawa wapambe ambao hawaoni jema kwa mtu.
 
nilipoangalia hilo domo tu! nikajua lazima huyu atakuwa ni mwamvita, mtoto wa nyoka ni nyoka : Kamati Kuu + RA = Vodacom
 
imagine hajapaka makeup......................................... !!!!!!!!!!.....anakuwaje??????
 
Mwamvita ni mchapakazi na ana moyo wa huruma ya baba yake hayamuhusu kila mtu ahukumiwe kwa matendo yake.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom