Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,474
- 39,987
Tuko katika kufanyia kazi ripoti moja muhimu sana; jina moja limeongezewa:
Merei Balhaboo
Je mwamjua huyu jamaa pale Morogoro?
Merei Balhaboo
Je mwamjua huyu jamaa pale Morogoro?
TIOT owner na biashara magendo ya mafuta mwenda mashariki DRC....maskani MG,hapa Dar office(Rage alishawahi kuwa mhasibu wake).....Moro United owner kabla hajaiuza....
pia alionekana hana hatia juzijuzi baada ya kuwa ktk ile kesi ya kuitapeli Barclays kama bilioni na ushee...
kheee kweli?uwiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii yethu na maria.Kweli babangu?
Huyu siyo yule jamaa aliyekuwa na kesi ya kuiswindle benki moja mamilioni ya pesa??????
Ndio huyo, pia anahusishwa na kuwatembelea wanaume (tena maarufu hapa mjini) kinyume na maumbile... kasaidia "chama chetu" pia
Sema ni tajiri katika matajiri hapo bongo, lakini hana uwezo wa kumiliki meli ya mafuta!!!!Pia ni mmiliki wa chain ya Supper Markets kwenye vituo vyote vya TIOT.
He is a powerful man with connections among the axis of powers za nchi hii, Ewura walipofunga petrol station yake pale Moro on Friday moja, the following Monday lawyers wake wakafile suit under the certificate of urgency, by Wed, Petrol Station ikafunguliwa kwa amri ya mahakama, issue iliyoleta malumbano makubwa kati ya Sitta na CJ.
Inasemekana familia yao inamiliki visima vya mafuta Arabuni, meli za kuyasafirisha mafuta hayo ni zao, clearing agents ni kampuni yao. Surface transport ni malori yao, na huko DRC, ana miliki petrol stations kadhaa.
The man is filthy rich, ila pia ana roho nzuri kama walivyo matajiri wa Moro, pesa nje nje, ikitokea misiba, usafiri wa kwenda mazikoni bure na ubani wa maana.
Sema ni tajiri katika matajiri hapo bongo, lakini hana uwezo wa kumiliki meli ya mafuta!!!!Pia ni mmiliki wa chain ya Supper Markets kwenye vituo vyote vya TIOT.
He is a powerful man with connections among the axis of powers za nchi hii, Ewura walipofunga petrol station yake pale Moro on Friday moja, the following Monday lawyers wake wakafile suit under the certificate of urgency, by Wed, Petrol Station ikafunguliwa kwa amri ya mahakama, issue iliyoleta malumbano makubwa kati ya Sitta na CJ.
Inasemekana familia yao inamiliki visima vya mafuta Arabuni, meli za kuyasafirisha mafuta hayo ni zao, clearing agents ni kampuni yao. Surface transport ni malori yao, na huko DRC, ana miliki petrol stations kadhaa.
The man is filthy rich, ila pia ana roho nzuri kama walivyo matajiri wa Moro, pesa nje nje, ikitokea misiba, usafiri wa kwenda mazikoni bure na ubani wa maana.
Sasa hizi mbona ni kama dharau?. Unamaanisha Mbongo hawezi miliki meli ya mafuta?. Mbona kuna mbongo namfahamu yuko hapa hapa bongo, anamiliki private jet, ana meli, anamiliki majumba London, New York na Paris yet ni low profile, itakuwa meli ya mafuta?.Sema ni tajiri katika matajiri hapo bongo, lakini hana uwezo wa kumiliki meli ya mafuta!!!!
Tuko katika kufanyia kazi ripoti moja muhimu sana; jina moja limeongezewa:
Merei Balhaboo
Je mwamjua huyu jamaa pale Morogoro?
Huyu ni mfanyabiashara wa mafuta, owner wa TIOT.Hii kampuni ilikuwa mahususi kwa kuuza mafuta Zambia na Congo.Inaaminika mmoja wa shareholders ni Gen. Mboma ingawa siwezi kuthibitisha hilo.Ninachojua walikuwa wanapitishia mafuta bandari ya Tanga na walituhumiwa kutolipia ushuru baadae kampuni hii ikifa natural death.Tuko katika kufanyia kazi ripoti moja muhimu sana; jina moja limeongezewa:
Merei Balhaboo
Je mwamjua huyu jamaa pale Morogoro?
He! Hii kesi ilishamalizika?!?pia alionekana hana hatia juzijuzi baada ya kuwa ktk ile kesi ya kuitapeli Barclays kama bilioni na ushee...
Hii kesi si nilisikia walikuwa wanashitakiwa watu wawili na wote walikuwa aquited? Yeye na bwana mmoja mzaliwa wa mkoa mmoja wa kanda ya ziwa!He! Hii kesi ilishamalizika?!?