Huyu ni mzee wa "picha ya leo" akipewa discpline na my wife wake

SI unit

JF-Expert Member
Feb 24, 2012
1,953
766
998272_385813161546072_1919256199_n.jpg
 
Mkikatwa miguu na viganja mnalalamika!

Thubutu! chezea wale wasiojijuwa wa huko vijijini kwenu.

Hapa ni mujini, "walikuja na nywele vichwani wakarudi makwao vipara". Hiyo ilikuwa kauli mbiu yetu enzi hizo, umeshawahi isikia?
 
Thubutu! chezea wale wasiojijuwa wa huko vijijini kwenu.

Hapa ni mujini, "walikuja na nywele vichwani wakarudi makwao vipara". Hiyo ilikuwa kauli mbiu yetu enzi hizo, umeshawahi isikia?

Wa mujini hawafanyiwi hivyo, but kunako kiboga ndo discipline yenyewe!
 

Similar Discussions

1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom