Huyu ni mume au mzigo?

Mtambuzi

Platinum Member
Oct 29, 2008
8,810
15,398
Hebu chukulia kwamba mumeo amefikia mahali kwamba, hana anachokusaidia, yaani ni mzigo. Ni mzima wa akili, mwili na anafanya kazi, lakini hana msaada wowote kwako. Wewe ndiye unalisha familia na unayefanya kila kitu, yeye ama ni kunywa pombe tu, au kufanya umalaya ama vyote.

Je ungeganya nini?
 
Kwa vile mimi sio mama yake; namtimulia mbali bila hata kufikiria mara mbili!
 
Ni nini sababu iliyomfikisha hapo
Na je kabla alikuwaje na alikuwa anatoa matumizi au ilikuwa the same
Na je kama familia mshaka mkaliongea kujua tatizo ni nini
Na ana watoto hapo nyumbani kwenu na je anawachukuliaje watoto wake ambao hawaachii matumizi
 
Huyo anahitaji msaada wa ushauri sio kufukuzwa au kutendewa mambo ya kuendelea kuumizwa hisia zake!
 
Ningempeleka kwa wataalamu wa saikolojia.Sio bure lazima atakuwa amekuwa limbukeni
 
huna la kumfanya isipokuwa umalaya ni sababu tosha ya kumpiga kibuti.............................why should you join the grim statistics of hiv victims because of your hubby's reckless disregard of human life?
 
nadhani atakuta nshapaki vilago vyakehtmaji hanywi...bafuu uuuuuuu kabisamaombi maombi kwani ni mgonjwa huyo ni tabia mbaya tu
 
Jamani nyinyi wakimama mbona hamueleweki si mnataka usawa mbona mnalalamika, wewe umeoa haujaolewa hiyo ndio hasara ya kuoa, jambo la msingi nenda ukweni ukawaeleze tatizo linalokukabili ili wawasuruhishe kuliko kumwacha kwani huwezi jua hata ukimpata mwingine itakuwaje, vile vile kuwa makini na ushauri wa watu kwani siku zote jambo lolote likitokea kwa mwenzio huwa ni rahisi, mimi sikushauri umwache, kwani hata mimi mke wangu akiwaa hivyo siwezi mwacha kiurahisi kama wanavyoshauri.
 
Mtambuzi haya mambo ya ndoa ni magumu saana.... Unapokua binti mdogo unapata mume kakulea na kukupa lolote utakalo... yaani ni mume in name na vitendo... kahakikisha umeongeza kisomo... kahakikisha kua umepata kazi nzuri yaani yeye anakupa support ya kila namna ambayo yeye kama mume anasatahili na hata beyond that... Ndio maana katika zile marital maneno kuna "For better For Worse".... Maisha yanabadilika... mumeo anaweza fukuzwa kazi au biashara ikaenda vibaya.... Huyo mume hata achukue miaka miwili ama zaidi kuweka mamboa yake sawa na akakutegemea kwa kila kitu.... ana haki na wala sio mzigo.... Na hata kama sio yeye kakuendeleza but in short he is a good man.... then he deserves support from the wife....

N:B Nashukuru kwa kutupa a Break wamama na kuamia kwa Wanaume leo....
 
haya ni makubaliano ya watu wawili yoyote anaweza kusaidia familia kutokana na kipato chake kwa wakati husika kama mme hana kipato mke anaweza chukua hiyo nafasi ingawaje ktk hali halizs ndoa ya namna hii haitadumu
 
kuna mambo ya msingi yanatakiwa kuyafanya ndani ya nyumba kwa mwanaume na mwanamke .. hatuwezi kukaa na kuongea au kujadili masuala ya nyumbani tunajitahidi na kuamuni furaha inapatikana nje ya nyumba kwa kupata kiburudisho au kinywaji... kwa hali kama hii mwanamke ni jukumu lake kuongea na mwenza ni lazima atajua sababu iliyopelekea kuwa hivyo
 
AshaDii; Mtambuzi haya mambo ya ndoa ni magumu saana.... Unapokua binti mdogo unapata mume kakulea na kukupa lolote utakalo... yaani ni mume in name na vitendo... kahakikisha umeongeza kisomo... kahakikisha kua umepata kazi nzuri yaani yeye anakupa support ya kila namna ambayo yeye kama mume anasatahili na hata beyond that... Ndio maana katika zile marital maneno kuna "For better For Worse".... Maisha yanabadilika... mumeo anaweza fukuzwa kazi au biashara ikaenda vibaya.... Huyo mume hata achukue miaka miwili ama zaidi kuweka mamboa yake sawa na akakutegemea kwa kila kitu.... ana haki na wala sio mzigo.... Na hata kama sio yeye kakuendeleza but in short he is a good man.... then he deserves support from the wife....

N:B Nashukuru kwa kutupa a Break wamama na kuamia kwa Wanaume leo....


AshaDii,

Kwa kuangalia comments za wadada hapo juu ni dhahili kuwa hivyo viapo vinavyotoka vinywani mwao havizingatiwi katika maisha ya ndoa ya sasa. Hujiulizi ni kwa nini mumeo amekuwa hivyo kama mwanzoni alikuwa anatoa support? Wewe ikikutokea kama mdada mumeo akufungashie vilago vyako kisa huna msaada kwake? Je ndoa ni mali pekee ndo inaifanya isimame? Kwa hizo comments ndo utajuwa kuwa watu wamezichoka ndoa zao na upendo wa kweli kwenye ndoa haupo bali umuhimu wa mtu katika ndoa ni awe na mali/pesa, zikiisha mapenzi nayo hutoweka.
 
Saafi AshaDii..umefikiri kikubwa.. amebahatika anayekumiliki..
Mtambuzi haya mambo ya ndoa ni magumu saana.... Unapokua binti mdogo unapata mume kakulea na kukupa lolote utakalo... yaani ni mume in name na vitendo... kahakikisha umeongeza kisomo... kahakikisha kua umepata kazi nzuri yaani yeye anakupa support ya kila namna ambayo yeye kama mume anasatahili na hata beyond that... Ndio maana katika zile marital maneno kuna &quot;For better For Worse&quot;.... Maisha yanabadilika... mumeo anaweza fukuzwa kazi au biashara ikaenda vibaya.... Huyo mume hata achukue miaka miwili ama zaidi kuweka mamboa yake sawa na akakutegemea kwa kila kitu.... ana haki na wala sio mzigo.... Na hata kama sio yeye kakuendeleza but in short he is a good man.... then he deserves support from the wife....<br />
<br />
N:B Nashukuru kwa kutupa a Break wamama na kuamia kwa Wanaume leo....
<br />
<br />
 
Saafi AshaDii..umefikiri kikubwa.. amebahatika anayekumiliki.. &lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;
<br />
<br />
Unawezakuta nae ndo wale wale...i love this movie on O Z ...this young boy like to scream 'all woman are bitche.s'
 
Mdada kafunguka kitu ambacho kinaeleza ubora wa m'ke wa ktz yaani penzi la huduma na penzi la HURUMA(wtz wanasifika duniani)..ngoja nimtetee..kimtokacho mtu ndicho kiujazacho moyo wake..
&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
Unawezakuta nae ndo wale wale...i love this movie on O Z ...this young boy like to scream 'all woman are bitche.s'
<br />
<br />
 
Back
Top Bottom