Uchaguzi 2020 Huyu ni msafisha viatu kweli au ana kazi nyingine maalum? Amenichambulia siasa za Tanzania na kuahidi Tundu Lissu kushindwa vibaya

Hicho kiwanda 2015 kilikosa nishati au vipuri nini? Mbona tuligalagazwa mbaya? Kutojiamini kote kwa Magu ,uamuzi wa kurudisha bunge letu gizani na Magufuli kuamua kupiga kampeni kwa miaka mitano yalikuwa ni matokeo ya kugaragazwa,Kama haya yamesemwa na huyu mshona viatu no wonder ni mshona viatu,he is an empty head

Mkuu wewe wafahamu kushona kiatu?

Au ukipewa kazi na mkubwa wako akakwammbia anataka ushughulikie kutoa jiwe lilonasa kwenye kiatu chaje utaweza kazi hiyo.

Anakwambia jiwe linasumbua kwenye kiatu linakifanya kiatu kipige kelele.

Usije na majibu kwamba labda utatumia bisibisi na nyundo.
 
Uliposema msafisha viatu kashusha nondo nikajua ni yule wa pale nje ya Wizara ya Ardhi maana naye ni walawale. Lakini sasa pale hakuna juice ya miwa wala barafu, na hata hizo unazoziita nondo nazo, dah!!!🙆‍♂️

Huyu yupo sehemu moja hivi mitaa ya katikati sana.
 
Richard,

Hahahaaaa! We jamaaa hata hujielewi kabsa. Kwa hiyo Lowassa na Sumaye walienda kuzuga tu Chadema? Unashangaa Nini waziri mkuu mstaafu kutafuta uongozi kupitia chama kingine? Fatilia siasa za kiafrika ndo utajua,hiyo system unayojimwambafai kuijua sindo ilikuwa chini ya mchungaji Kipilimba, unajua kilichomtoa hapo kupelekwa ubalozini? Unajua kilichomtoa hapo naibu Mkurugenzi wa TISS ndugu Makungu kuwa Ras Tabora? Eti BASHITE unamjadili humu kuwa kaangushwa na wauza unga! Khaaaaa.

Kuna kitu chaitwa "feedback" wakifahamu?
 
Unamshindaje Lissu katika uchaguzi ambao hausimamiwi na TUME HURU, Serikali inahofia UWAZI na kuhakikisha kura zinahesabiwa hadharani?

Tia akili kichwani ili utafakari kwa kina kabla ya KUKURUPUKA.
 
Richard,

Kama hufahamu tuu awamu zinakuwaje na zinabadilikaje, "saizi" yako ya uelewa ni hiyo hiyo ya vijiwe vya washona viatu.

nafahamu sana toka awamu ya kwanza ya baba wa taifa, wamu ya pili Mzee Mwinyi, awamu ya tatu marehemu Ben Mkapa, awamu ya nne JK na awamu ya tano JPM au sio?

Awamu ya sita ni 2025-2035

Ni kosa la kiuandishi tu nimerekebisha.
 
UPUUZI MTUPU! Unamshindaje Lissu katika uchaguzi ambao hausimamiwi na TUME HURU, Serikali inahofia UWAZI na kuhakikisha kura zinahesabiwa hadharani?

Tia akili kichwani ili utafakari kwa kina kabla ya KUKURUPUKA.

Mkuu bado naamini kuwa upinzani ulikuwepo huko nyuma na si sasa.

Hakuna upinzani Tanzania.

Ask Mr Mbowe and co wanafahamu hiyo 100%

Tundu Lissu yupo kuongeza idadi ya wanachama na umaarufu wa chama na Mbowe yupo pembeni anaangalia.

Lakini upinzani kwa sasa bila kujitambua umezingirwa na Membe, Zitto, Nyalandu na wengine hivyo ifikia muda utakuja kuniambia ntakusubiri hapa.

Mambo huenda kimpango na sasa CCM inajiandaa kumaliza kazi.

Wao Chadema waangalia kiasi gani chaingia benki na maisha yanaendelea.

Nimesema sana humu kwamba tulipokuwa "more active" kwenye harakati tulikuwa na matumaini, lakini kitendo alichofanya Mbowe cha kupokea fedha za Lowasa na kubadili gia angani na kumtosa Dr Slaa, mimi ndo nasimamia hapo na sitabadilisha uamuzi huo.

Ndo maana nimeona ni bora kuwa na serikali hii ambayo itatekeleza yaleyale tuloyokuwa tunayapigia kelele hapa tena tukitaja tunahitaji raisi dikteta.

Raisi JPM si dikteta ila baadhi yetu sisi khasa wa humu mitandaoni ndo tunamlazimisha kuwa dikteta.

Ila mpaka sasa bado raisi JPM hajawa dikteta ila tunamlzimisha awe dikteta halafu tupate sababu.

Sasa JPM hataki fujo si umeona hata raisi wa nchi jirani kaambiwa aongee na Johari kuhusu kuzuiwa ndege zao?

Sasa mnadai tume huru, sasa tume mbona mnakubali NEC ikitangaza matokeo ya vyama vya upinzani kwa majimbo wanayoshikilia?

Naomba nitajie tume huru yoyote ile katika nchi yoyote ile ambayo ipo na yafanya kazi zake "independently".
 
Hebu achana na alinacha zako Mkuu! Ni lini ulifanya utafiti? Na utafiti wako uliokuaminisha kwamba Tanzania hakuna upinzani uliufanya lini na katika mikoa ipi? Na ukubwa wa sample yako ulikuwa upi!? 😳😳

Mkuu bado naamini kuwa upinzani ulikuwepo huko nyuma na si sasa.

Hakuna upinzani Tanzania.

Ask Mr Mbowe and co wanafahamu hiyo 100%

Wao waangalia kiasi gani chaingia benki na maisha yanaendelea.

Nimesema sana humu kwamba tulipokuwa "more active" kwenye harakati tulikuwa na matumaini, lakini kitendo alichofanya Mbowe cha kupokea fedha za Lowasa na kubadili gia angani na kumtosa Dr Slaa, mimi ndo nasimamia hapo na sitabadilisha uamuzi huo.

Ndo maana nimeona ni bora kuwa na serikali hii ambayo itatekeleza yaleyale tuloyokuwa tunayapigia kelele hapa tena tukitaja tunahitaji raisi dikteta.

Raisi JPM si dikteta ila baadhi yetu sisi khasa wa humu mitandaoni ndo tunamlazimisha kuwa dikteta.

Ila mpaka sasa bado raisi JPM hajawa dikteta ila tunamlzimisha awe dikteta halafu tupate sababu.

Sasa JPM hataki fujo si umeona hata raisi wa nchi jirani kaambiwa aongee na Johari kuhusu kuzuiwa ndege zao?

Sasa mnadai tume huru, sasa tume mbona mnakubali NEC ikitangaza matokeo ya vyama vya upinzani kwa majimbo wanayoshikilia?

Naomba nitajie tume huru yoyote ile katika nchi yoyote ile ambayo ipo na yafanya kazi zake "independently".
 
Hebu achana na alinacha zako Mkuu! Ni lini ulifanya utafiti? Na utafiti wako uliokuaminisha kwamba Tanzania hakuna upinzani uliufanya lini na katika mikoa ipi? Na ukubwa wa sample yako ulikuwa upi!? 😳😳

NIlianza kufuatilia Upinzani tangu ianzishwe NCCR-Mageuzi ya mazee akina Augustino Mrema, Marehemu Masumbuko Lamwai na Mabere Marando.

Alipoingia mzee Mtei na Bob Makani nikaona angalau hawa walimaanisha something.

Ila kuna baadhi ya mambo ambayo mzee Mtei hayaungi mkono kabisa kutoka kwa mkwe wake.

Hivyo tangu upinzani uanze mwaka 1992 nimekuwa naufuatilia.

Kibaya zaidi nilipoona marehemu Oscar Kambona anaruhusiwa na Nyerere kurudi Bongo halafu nae acheze kidogo na mtindo wetu wa siasa za kitanzania.

Pia nilikuwepo Mwembeyanga pale Dr Slaa alipotaja ile orodha ya mafisadi.

Nimeona mengi nimezunguka nchi nzima.

Nakubali zipo sehemu katika mikoa yetu Upinzani unakubalika Arusha, Mbeya, Mara, Kilimanjaro na sehemu zingine lakini ni rahisi sana kwa sasa upinzani kupoteza sehemu hizo kuliko ilivyokuwa kabla ya 2015.
 
Narudia tena Mkuu achana na alinacha zako. Kama upinzani umeshakufa Nchini wasiwasi wa kuwepo TUME HURU ili kusimamia Uchaguzi HURU na wa HAKI dhidi ya upinzani MFU unatoka wapi!?

Wasi wasi wa kuwepo UWAZI katika upigaji kura na kura kuhesabiwa hadharani dhidi ya upinzani MFU unatoka wapi!? 😳😳

NIlianza kufuatilia Upinzani tangu ianzishwe NCCR-Mageuzi ya mazee akina Augustino Mrema, Marehemu Masumbuko Lamwai na Mabere Marando.

Hivyoi tangu upinzani uanze mwaka 1992 nimekuwa naufuatilia.

Kibaya zaidi nilipoona marehemu Oscar Kambona anaruhusiwa na Nyerere kurudi Bongo halafu nae acheze kidogo na mtindo wetu wa siasa za kitanzania.

Pia nilikuweo Mwembeyanga pale Dr Slaa alipotaja ile orodha ya mafisadi.

Nimeona mengi nimezunguka nchi nzima.

Nakubali zipo sehemu katika mikoa yetu Upinzani unakubalika Arusha, Mbeya, Mara, Kilimanjaro na sehemu zingine lakini ni rahisi sana kwa sasa upinzani kupoteza sehemu hizo kuliko ilivyokuwa kabla ya 2015.
 
Kama ndio hivyo msibweke kama mna uhakika mtashinda mmeanza kelele za nini
 
Hizo ndio nondo? Mawazo ya zamani sana hayo!

Kweli kabisa, wale makada waliokuwa wanajigamba kuwa mashati na magwanda ya kijani yamejirudishia heshima kwa kuwa na ushawishi kwa waTanzania mbona hatuyaoni mtandaoni kama mwaka 2015 ya January Makamba na Nape Nnauye !

CCM Mpya hawana hoja bali wanakuja na story za kufikirika kama uzi huu ili kujifariji, makada halisi hawajitokezi hadharani kutetea chama chao na wagombea wao, wote wamejibanza kuvizia kama kutatokea maajabu ya 'kupona' October 2020.
 
Back
Top Bottom